Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,703
- 5,477
Aiseeh kuna watu wanajua kutesa.
Njaa au matesoAisee! Hakuna jenerali mbele ya njaa! Noma sana. Ila the good thing is ata-recover soon. Ndio gharama za kuifia nchi yako hizo.
Aisee! Hakuna jenerali mbele ya njaa! Noma sana. Ila the good thing is ata-recover soon. Ndio gharama za kuifia nchi yako hizo.
Inategemea mateso ya aina gani .Kuna uwezekano akawa zezeta kama wengi wanaoachiwa Guantanamo. Mateso ya kisaikolojia , short za umeme , Sindano za usingizi vipigo , Kuingiliwa na wanyama km mbwa nk . Huyo hataweza hata kusimulia chochoteAisee! Hakuna jenerali mbele ya njaa! Noma sana. Ila the good thing is ata-recover soon. Ndio gharama za kuifia nchi yako hizo.
We nae acha ushamba.hao mateka wameachiwa baada ya kubadilishana POW wa pande zote mbili.Kwa my Ukraine yupo.jela ya Russia na warussia wamewaruhusu wa Ukraine waje wampige picha mfungwa Tena kwa adui wao, na huku ameweka poz, au mfungwa aruhusiwe kuwa na smartphone fikirini Mara 2 kabla hamjapost vitu humu
Njaa hiyoNjaa au mateso
Ni kweli, njaa haina baunsaAisee! Hakuna jenerali mbele ya njaa! Noma sana. Ila the good thing is ata-recover soon. Ndio gharama za kuifia nchi yako hizo.