kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 10,709
- 13,152
Huku Mikasa ikiendelea kuiandama urusi baada ya ndege yake kubwa ya mizigo kuwaka moto wakati ikiwa angani na kuua watu wote 16 ndani yake,kwa upande wake Ukraine imeendelea kutembeza kichapo huku ikichakaza vibaya vituo vya kuchakata mafuta (oil refineries)ndani ya Urusi.., wakati hayo yakiendelea makundi ya wapiganaji wa kirusi wanaoungwa mkono na Ukraine Leo hii wametangaza kukabiliana na vikosi vya usalama ndani ya urusi huku wakipata udhibiti wa vijiji kadhaa katika Jimbo la belgrod ndani ya ardhi ya urusi.., wapiganaji hao wanadai kuwa Wana lengo Moja tu la kuundoa utawala dhalimu wa rais puttin na kuikomboa nchi Yao ya urusi
NB: sijaongeza Wala kupunguza neno lolote katika hayo niliyoandika..,pekua mwenyewe ukurasa wa aljazeela ujionee kila kitu!!
NB: sijaongeza Wala kupunguza neno lolote katika hayo niliyoandika..,pekua mwenyewe ukurasa wa aljazeela ujionee kila kitu!!