May be,!!? Coz we ndo umesema according to threads and not officially police information... Who is crazy now. Teh - Teh Teh
Taarifa ya polisi tar kama ya leo mwaka jana ilitoa majina ya professional kwa ajili ya usaili, jamii kakurahishia u-search hapa JF hiyo taarifa ya ya polisi ilikuwepo...! Kipi usichoelewa au unajijaza ubwege
Hivi CID inawezekana kupata ukiingia police??
Mi nafkir meng unaanza kuyajua ukiingia uko uko afu na course uliyosomea pia nayo yaweza matter kwamba kitengo gan waweza kwenda
Kwanza omba uwe shortlistedMimi nimesoma bed psychology sasa sijui kama naweza fikiriwa napenda kazi za investigation aisee
Mimi nimesoma bed psychology sasa sijui kama naweza fikiriwa napenda kazi za investigation aisee
Always what it is you are feelings is the perfect reflection of what is in the process of becoming.... cha msing kuzid kumwomba Mungu, ibilis asifanye yake!
Kwanza omba uwe shortlisted
Then uombe uwe selected
Mengine yatajipa mbele kwa mbele
Nahisi tumbo linaniuma kwa kusubiri huu usaili.
Hivi vipi kuhusu ile thread iliyosema kuwa inasemekana asilimia 90% ya applicants hawakukizi vigezo ikiwemo
1. Fani zao sio fani zilizotajwa
2. Umri wao kuwa above 25 kama ilivyokuwa inatakiwa
3. Hawajamaliza katika mwaka wa masomo 2013/2014.
Na kulingana na maelezo ya mtoa thread wahusika wanalalamika kwamba kwa sababu hizo imesababisha zoezi la kupitia maombi kuwa gumu.
My take: Inawezekana ikawa ni sababu za kuchelewa kwa usahili kwa wenye proffessions
Hivi CID inawezekana kupata ukiingia police??
CID ni kitengo ndani ya jeshi la polisi yaani criminal investigation department, it depend to your professional kuwa Upelelezi na wengine mkawa general duty na ila FFU mara nyingi wanatoka JKT na wako chini ya kamanda wa mkoa RPC
hivyo psychology uwezekano wa kuwa upelelezi ni mkubwa
CID ni kitengo ndani ya jeshi la polisi yaani criminal investigation department, it depend to your professional kuwa Upelelezi na wengine mkawa general duty na ila FFU mara nyingi wanatoka JKT na wako chini ya kamanda wa mkoa RPC
hivyo psychology uwezekano wa kuwa upelelezi ni mkubwa
Asante sana sana Ejay ngoja tusubir kwanza shortlist ingawa ndugu na familia yangu hawataki kusikia hii kazi ila mimi nitaenda tuu madam nimeamua
watakukubali siku ukiingia tu kazini kwanza maslahi pili heshima unayopata na wanayopata wao mtaani