Jeshi la Polisi wameanza kuita kwenye usaili?

Jeshi la Polisi wameanza kuita kwenye usaili?

Status
Not open for further replies.
Wameenda lini? toa ufafanuz watu wakuelewe mkuu jamaa yuko serious na swal lake! au waliita kimyakimya? Hao 2013/14 wapo kazin now, tunaozungumzia ni 2014/15 usail ulikua lin maana hata hawa wa 4 na 6 waliofanya usail bado awajaita mpaka sasa! natanguliza shukran kusubil maelezo zaid toka kwako

Anazungumzia 2013/2014- hii ni 2014/2015..
 
usaili wa form 4 na 6 uliisha ktambo ndugu tarehe 11 mwez huu!!

Kasichana yupo sahihi ni kwel 4&6 saiz wanasubiria tu kwenda gwaride usail wa mikoa ya mwisho ilikua tar 11.... wengne muwe mnatoa habar za uhakika sio kukisiakisia..
 
bado wanamalizia kushot list majina coz watu walio omba walikuwa wengi.tuvumilie wazee
 
Kama mafunzo huanza mwezi wa 11 na usaili utafanywa kwa mda gani au watakao kua shot listed wataanza bila kusailiwa
 
Kama mafunzo huanza mwezi wa 11 na usaili utafanywa kwa mda gani au watakao kua shot listed wataanza bila kusailiwa

usaili ni lazma ndugu! Sema utachukua mda mfupi km mwaka jana!! Maana walipewa km week kujiandaa waliofanikiwa
 
waombaji wengi hawajui lakini ukweli ni kwamba this time wanafanya follow-up ya hali ya juu ili kupata the best watakaochaguliwa, kwa maneno mengine wanafanya upekuzi mpaka chuoni ulikosoma!
 
waombaji wengi hawajui lakini ukweli ni kwamba this time wanafanya follow-up ya hali ya juu ili kupata the best watakaochaguliwa, kwa maneno mengine wanafanya upekuzi mpaka chuoni ulikosoma!

Kama kweli wanafanya hivyoo basiii wataenda best kwelii wameanza kama usalama wa taifa na wao safi sana mimi najua nitapata tuu
 
Kama kweli wanafanya hivyoo basiii wataenda best kwelii wameanza kama usalama wa taifa na wao safi sana mimi najua nitapata tuu

hahaha spiritual confdence!! Jeshn mnatakiwa watu km nyie! Tutakutana ccp ndugu tuombe uzma na kuchunga afya
 
duh! sa kama ndo ivo ufuatiliaj had chuon na walioomba n wengi, in that sense short list itatoka baada ya miaka miwili au mitatu kabisaaa!
 
duh! sa kama ndo ivo ufuatiliaj had chuon na walioomba n wengi, in that sense short list itatoka baada ya miaka miwili au mitatu kabisaaa!

Ni nzuri kufuatilia hadi chuoni ili kupata relevance candidate, shida inakuwa MUDA, sijui wataita lini maskini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom