Nasikia kataja wanaume kama mia na viongozi wakiwemo nahisi viongozi wa ccm wakamteteeeumemaliza kika kitu dina.
Ushoga ni mfumo wake wa maisha alochagua. Hana sababu ya kutetewa mwenyewe anaweza. Sorry kakamatwa na Mteja wake au kaparamiwa tu njiani?Salaam kwenu!!
Shoga maarufu Tanzania na duniani James delicious amekamatwa kwa amri ya Naibu waziri wa afya mh khamisi kigwangala!! Jopo la wanasheria kutoka chadema mkiongozwa na TUNDU LISSU mna mpango gani wakumtetea?
Hata mpumbavu akinyamaza huonekana mwenye hekima.Salaam kwenu!!
Shoga maarufu Tanzania na duniani James delicious amekamatwa kwa amri ya Naibu waziri wa afya mh khamisi kigwangala!! Jopo la wanasheria kutoka chadema mkiongozwa na TUNDU LISSU mna mpango gani wakumtetea?
umaanisha wanamahabusu wenziwe??Huko aliko si watu wanafanya party.
Kamteteeni na nyie kwani kila kitu ni kina Tundu Lisu tu hujui Tundu Lisu kawa Raisi wa TLS,wanasheria wa ccm hawapo au ni vilaza[/
QUOTE]
vilaza wa kijani wamemkacha mtu wao
Vip ww unamoango huo?Salaam kwenu!!
Shoga maarufu Tanzania na duniani James delicious amekamatwa kwa amri ya Naibu waziri wa afya mh khamisi kigwangala!! Jopo la wanasheria kutoka chadema mkiongozwa na TUNDU LISSU mna mpango gani wakumtetea?
Hivi wewe unajielewa kweli? Kwani hao chadema ni mashoga hadi wamtetee?Salaam kwenu!!
Shoga maarufu Tanzania na duniani James delicious amekamatwa kwa amri ya Naibu waziri wa afya mh khamisi kigwangala!! Jopo la wanasheria kutoka chadema mkiongozwa na TUNDU LISSU mna mpango gani wakumtetea?