Jeshi la Polisi linamshikilia 'James Delicious' kwa amri ya Naibu Waziri Kigwangalla

Janja PORI

JF-Expert Member
Jul 31, 2011
825
246
802b20047696ccf4c8d86ebf60d901c0.jpg


Habari za hivi punde ni kwamba kijana maarufu mtandaoni na hapa jijini Dar, 'James Delicious' anashikiliwa na kituo cha polisi Osterbay toka Jumamosi kwa amri ya Kigwangalla.

Ikumbukwe kuwa Waziri Kigwangalla akiwa Bungeni aliamuru kukamatwa kwa wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wanaojiuza mitandaoni na kumtaja James akitaka akamatwe mara moja.

Rejea uzi huu >>>DODOMA: Kigwangalla aagiza kukamatwa kwa Kijana maarufu mitandaoni kwa ushoga, James Delicious

Mpaka sasa anahojiwa na ametaja list ya wapenzi wake zaidi ya 100 ikiwemo viongozi wakubwa wa nchi.

Swali: Je, Kigwangalla atawaja hadharani?
 
Jana tumeonekana BBC kisa Ney kukamatwa kwa kuexercise freedom of speech.

Ninavyojua ni kosa kukamatwa ukifanya mambo ya kishoga, yaani hata kama unafanya ili uonekane una kosa ni lazima uwepo ushahidi wa kuonesha unafanya hayo matendo mfano ukutwe gest unaegeshwa.
Ugumu huja hapo kwakua ni ngumu kujua kama huyu mtu sasa hivi yupo gest anaegeshwa niende nikamkamate.

Akienda mahakamani anaweza akajitetea kua yeye ni attention seeker hivyo hufanya hivyo mtandaoni ili kupata followers na wala siyo shoga kwakua hamjamkamata akifanya hivyo.

On a positive side, tutaonekana BBC tena angalau sasa hivi sheria inatubeba.
 
I don't understand how a person can hate someone for choosing to sleep with the same sex... How
does who someone decideds to sleep with effect your life... this is sooo pathetic it's gross!!! Put that energy into something else... like world hunger or saving humans another way! Really will your God
really be proud of you for torturing someone for being Gay??? Ughhh Idiots!!!
 
Jana tumeonekana BBC kisa Ney kukamatwa kwa kuexercise freedom of speech.

Ninavyojua ni kosa kukamatwa ukifanya mambo ya kishoga, yaani hata kama unafanya ili uonekane una kosa ni lazima uwepo ushahidi wa kuonesha unafanya hayo matendo mfano ukutwe gest unaegeshwa.
Ugumu huja hapo kwakua ni ngumu kujua kama huyu mtu sasa hivi yupo gest anaegeshwa niende nikamkamate.

Akienda mahakamani anaweza akajitetea kua yeye ni attention seeker hivyo hufanya hivyo mtandaoni ili kupata followers na wala siyo shoga kwakua hamjamkamata akifanya hivyo.

On a positive side, tutaonekana BBC tena angalau sasa hivi sheria inatubeba.

Mkuu BBC Swahili au ile yenyewe ya international?
 
I don't understand how a person can hate someone for choosing to sleep with the same sex... How
does who someone decideds to sleep with effect your life... this is sooo pathetic it's gross!!! Put that energy into something else... like world hunger or saving humans another way! Really will your God
really be proud of you for torturing someone for being Gay??? Ughhh Idiots!!!
Mmmnh .....?? Mungu anisamehe na aunusuru uzao wangu asitokee wa namna hii.
 
Jana tumeonekana BBC kisa Ney kukamatwa kwa kuexercise freedom of speech.

Ninavyojua ni kosa kukamatwa ukifanya mambo ya kishoga, yaani hata kama unafanya ili uonekane una kosa ni lazima uwepo ushahidi wa kuonesha unafanya hayo matendo mfano ukutwe gest unaegeshwa.
Ugumu huja hapo kwakua ni ngumu kujua kama huyu mtu sasa hivi yupo gest anaegeshwa niende nikamkamate.

Akienda mahakamani anaweza akajitetea kua yeye ni attention seeker hivyo hufanya hivyo mtandaoni ili kupata followers na wala siyo shoga kwakua hamjamkamata akifanya hivyo.

On a positive side, tutaonekana BBC tena angalau sasa hivi sheria inatubeba.
Si umesoma kwamba kataja wanaomla kwa mujibu wa mtoa post, ushahidi gani unaotaka ikiwa kakubali
 
Back
Top Bottom