Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,057
- 18,406
Watakaotajwa pia wana makosa maana ndo wanatengeneza mashoga nchini. Nao wakamatwe.
Swali langu la msingi ni Jeh!!!View attachment 487825
Habari za hivi punde ni kwamba kijana maarufu mtandaoni na hapa jijini Dar, 'James Delicious' anashikiliwa na kituo cha polisi Osterbay toka Jumamosi kwa amri ya Kigwangalla.
Ikumbukwe kuwa Waziri Kigwangalla akiwa Bungeni aliamuru kukamatwa kwa wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wanaojiuza mitandaoni na kumtaja James akitaka akamatwe mara moja.
Rejea uzi huu >>>DODOMA: Kigwangalla aagiza kukamatwa kwa Kijana maarufu mitandaoni kwa ushoga, James Delicious
Mpaka sasa anahojiwa na ametaja list ya wapenzi wake zaidi ya 100 ikiwemo viongozi wakubwa wa nchi.
Swali: Je, Kigwangalla atawaja hadharani?
Ohoooo!!!manyapara yanapata pumziko.Huko aliko si watu wanafanya party.
Anawekwa cha me si anakidudu.aliwekwa chumba gan cha me or ke?
Ohoooo!!!atakuwa anavaa pampas kama watotp.Zaidi ya 100
Huko nyuma sijui kumekuwaje saizi
Ohoooo!!!Mnatuzalilidha wanaume itafika hatua unamtongoza demu anakuuliza kama una marinda maana hizi ishu zinazidi kuwa common
Kaka.. huko nimekaa sana... kama james ndio huyu.. mbona wameshamfumua marinda yakutosha..Huko aliko si watu wanafanya party.
Keshapata wakili? Nataka nikamteteeView attachment 487825
Habari za hivi punde ni kwamba kijana maarufu mtandaoni na hapa jijini Dar, 'James Delicious' anashikiliwa na kituo cha polisi Osterbay toka Jumamosi kwa amri ya Kigwangalla.
Ikumbukwe kuwa Waziri Kigwangalla akiwa Bungeni aliamuru kukamatwa kwa wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wanaojiuza mitandaoni na kumtaja James akitaka akamatwe mara moja.
Rejea uzi huu >>>DODOMA: Kigwangalla aagiza kukamatwa kwa Kijana maarufu mitandaoni kwa ushoga, James Delicious
Mpaka sasa anahojiwa na ametaja list ya wapenzi wake zaidi ya 100 ikiwemo viongozi wakubwa wa nchi.
Swali: Je, Kigwangalla atawaja hadharani?
Ohooooo!!!Wakimvua suruali tu ushahidi wanapata...maana ukimwambia inama tu unakutana na tundu lipo wazi.
HahahahahaZaidi ya 100
Huko nyuma sijui kumekuwaje saizi
Ohoooo......Naomba mnieleweshe sijaelewa kabisa kinachoendelea.
Toba......Huko aliko si watu wanafanya party.
Ni mtoto wa watu......Ndo nani huyo mkuu?