Jeshi la Polisi kaeni neutral kipindi cha uchaguzi ili wananchi wachague viongozi wao kwa uwazi na uhuru 2025 ili haya ya bandari yasitokee

rodgers123

Senior Member
Jul 12, 2015
159
125
Kumekuwa na matukio mengi yanatokea kipindi cha hivi sasa.

Mara punde taarifa ya kuhusu Bandari na DP world nk.

Wananchi wamekuwa wanajilaumu kuwa japo uchaguzi ungekuwa wa haki basi wabunge wa upinzani wangekuwa bungeni na wangepambana na mambo haya yanayoendelea nchini kwetu. Lakini hivi sasa Bunge lina watu wachache ambao watatetea wananchi hasa kwenye mambo kama haya ya bandari.

Nadhani hata majority ya polisi nayo inatamani ingekuwa na watetezi bungeni kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.Maana wao ni wananchi pia.

Hivyo basi chaguzi iliyopita iwe somo na chaguzi ya 2025 ndugu zetu wapendwa polisi tunaomba muwe neutral kusimamia uchaguzi ili yasitokee haya ya bandari.

Natumaini wananchi wana hasira nyingi sana ambazo wanataka kuzionyesha kwa kuondoa asilimia kubwa ya Wabunge nk wale wote wanaoshiriki kwenye mambo ya sasa.

Mambo ya Bandari na DP. Nauhakika mkiruhusu uwazi hakika nguvu ya umma itakula nao sahani moja 2025.

Nia ni kuwa na watetezi wengi bungeni ambao wanaweza pinga vitu visivyo na maendeleo kwa taifa kwa ujumla. Ni wazo tuu wadau.
 
Ni aheri wakoloni kuwatoa ilikuwa rahisi.
ila kwa hii ccm hata Nyerere angeakuwepo angeshindwa kuiangusha
 
Kumekuwa na matukio mengi yanatokea kipindi cha hivi sasa.

Mara punde taarifa ya kuhusu Bandari na DP world nk.

Wananchi wamekuwa wanajilaumu kuwa japo uchaguzi ungekuwa wa haki basi wabunge wa upinzani wangekuwa bungeni na wangepambana na mambo haya yanayoendelea nchini kwetu. Lakini hivi sasa Bunge lina watu wachache ambao watatetea wananchi hasa kwenye mambo kama haya ya bandari.

Nadhani hata majority ya polisi nayo inatamani ingekuwa na watetezi bungeni kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.Maana wao ni wananchi pia.

Hivyo basi chaguzi iliyopita iwe somo na chaguzi ya 2025 ndugu zetu wapendwa polisi tunaomba muwe neutral kusimamia uchaguzi ili yasitokee haya ya bandari.

Natumaini wananchi wana hasira nyingi sana ambazo wanataka kuzionyesha kwa kuondoa asilimia kubwa ya Wabunge nk wale wote wanaoshiriki kwenye mambo ya sasa.

Mambo ya Bandari na DP. Nauhakika mkiruhusu uwazi hakika nguvu ya umma itakula nao sahani moja 2025.

Nia ni kuwa na watetezi wengi bungeni ambao wanaweza pinga vitu visivyo na maendeleo kwa taifa kwa ujumla. Ni wazo tuu wadau.
Kamwe haiwezekan!! Wanafuata wanasiasa wa CCM nn wanataka!! Over
 
kwahyo mnataka tuwape nchi akina mbowe ? hahahaaa aisee mnahemkwa sana ninyi watu.
 
Kwanini usivishauri vyama vya siasa kujiandaa vyema na uchaguzi kwa kuwa na wagombea bora wenye uwezo na kujijenga kuanzia ngazi za shina kuliko kujibambikizia majimbo wakati wa uchaguzi?
Kabla hujatulaumu polisi?!
 
Back
Top Bottom