Jeshi la Israel linasema kuwa litaondoa vikosi vitano vya kijeshi vilivyoshiriki katika uvamizi wa ardhini wa Gaza

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
47,013
32,459
Wanaukumbi.

The Israeli military says it will withdraw five combat brigades taking part in the ground invasion of Gaza so troops can “gain strength” for future battles
===============
Jeshi la Israel limesema litaondoa vikosi vitano vya kijeshi vilivyoshiriki katika uvamizi wa ardhini huko Gaza ili wanajeshi waweze "kupata nguvu" kwa vita vijavyo.

Tuliwambia humu kuwa Israel wanakwenda kupata aibu Gaza baada ya kipigo wanakimbia wenyewe, wamepoteza idadi kubwa ya wanajeshi wengine wamebaki vilema vya maisha.

 
⚡️Vita inamaanisha kuwa Wamarekani wako tayari kuzifanya nchi za Magharibi ziteseke na mzozo wa kiuchumi kwa ajili ya Wateule wanaoikalia #Palestina:

Iwapo Wamarekani wataingia vitani na #Yemen, Ulaya itakatiliwa mbali na Bahari Nyekundu, hivyo kulazimisha shehena zote zinazotoka Asia kupita Afrika Kusini, jambo ambalo litaongeza mfumuko wa bei na kuzorotesha hali ya uchumi barani Ulaya.

Ikiwa jambo zima ni "kulinda" Bahari ya Shamu - vita vitakuwa na matokeo tofauti.
 

Attachments

  • IMG_8673.jpeg
    IMG_8673.jpeg
    24.1 KB · Views: 3
Israhell ilikua over-rated sana sana sana sanaaa
Ngoja bwana yule aje wakati Russia ilikua ikiondoa baadhi ya wanajeshi wake pale Ukraine alikua anasema kua ni kipigo kimewakolea
Haya ngoja aje atoe stetment nahapa atasema
Nimjinga tu anaedhania kwamba israhell inaweza ingeweza ama itaifuta hamas
 
Israhell ilikua over-rated sana sana sana sanaaa
Ngoja bwana yule aje wakati Russia ilikua ikiondoa baadhi ya wanajeshi wake pale Ukraine alikua anasema kua ni kipigo kimewakolea
Haya ngoja aje atoe stetment nahapa atasema
Nimjinga tu anaedhania kwamba israhell inaweza ingeweza ama itaifuta hamas
Israel bila US ni sawa na kumpa kibogoyo karanga atafune
 
Back
Top Bottom