Jeshi la Israel linasema kuwa litaondoa vikosi vitano vya kijeshi vilivyoshiriki katika uvamizi wa ardhini wa Gaza

Hadi kufikia juzi


Kikosi kizima cha akiba kimesha ondolewa kutoka Ukanda kwenye ukanda wa Gaza na Kikosi cha

Makomandoo wa


Miamvuli namba 551 pamoja na Kikosi namba 14 cha Brigedi ya Hifadhi ya Kivita wanatarajiwa kuondoka muda wowote.
Wametema bungo mapema tu.
Israhell hamna kitu kabisaa wao wanachokiweza kupigana na kina mama na watoto
 
Back
Top Bottom