Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Jesca John Magufuli amechaguliwa na wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mbunge wa viti maalum kupitia kundi la vijana kutoka Tanzania Bara.
Katika matokeo yaliyotangazwa leo Agosti 2 aliyeshika nafasi ya kwanza Damas Kamani alipata kura 409, Jesca Magufuli ameshika nafasi ya pili baada ya kupata kura 391 kati ya kura 2,466 zilizopigwa na kura 12 ziliharibika katika uchaguzi ambao umefanyika Mtumba Jijini Dodoma.
Katika matokeo yaliyotangazwa leo Agosti 2 aliyeshika nafasi ya kwanza Damas Kamani alipata kura 409, Jesca Magufuli ameshika nafasi ya pili baada ya kupata kura 391 kati ya kura 2,466 zilizopigwa na kura 12 ziliharibika katika uchaguzi ambao umefanyika Mtumba Jijini Dodoma.