Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 818
Pongezi nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi, makomredi bana utawajua tu. Kidumu Chama cha mapinduzi ndugu yangu.
Watu wanaojifanya wao tu ndio wanaumiliki wa jimbo fulani na wanadamu wengine hawana haki ya kugombea ni ukuda sanaAwali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara!
Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana!
Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia. Mimi Ni mshiriki was Siasa za Iramba Magharibi nyuma ya jukwaa. Nikiamini kuwa hakuna mbadala wa kichocheo kikubwa Cha Maendeleo zaidi ya Utawala Bora, kwa msisitizo Good Gorvanance.
Mdogo wangu Jesca, nimekupongeza kwa ujasiri wako kuwa bado upo CHADEMA naomba pia nikupongeze pia kuwa mwaka huu pia umeamua kugombea Ubunge Iramba Magharibi.
Kwangu Mimi pongezi hizi za pili ni muhimu zaidi kwa kuwa nimeshangazwa kuwa eti umerudi like ulipokutelekeza.
Kisiasa hili linawezekana kwa kuwa nyie wanasiasa Front Liners huwa mnajali zaidi : Unapata Nini, Wapi na Njia gani utatumia kupata hicho
Jesca unakumbuka Hali ya kiafya uliyokuwa nayo katikati ya Kampeni Mwaka 2015? Unakumbuka kuwa Kuna watu walikuwa wanakufanyia Kampeni kwa niaba yako kwa maana uliwalipa?
Jesca unafahamu pia kuwa kuna kundi lingine lilikuwa mbele yako likikupigania wewe na CHADEMA bila kujali kuwa unawalipa, mnafahamiana au la?
Watu Hawa walitoa muda, rasilimali zao kuhakikisha kuwa Unapata kura zile kwa jasho na damu. Unafahamu Siasa za kishamba na kipumbavu anazofanya Mwigulu kwa maana hiyo Vijana wengine walihatarisha maisha yao kukupigania?
Jesca unafahamu Kuna watumishi wa umma walikuwa wanatoroka kazini kutoka mikoa ya mbali kwenda kusaidia CHADEMA na wewe haujawahi hata kutaka uwafamu?
Je, baada ya jitihada hizo zote ambazo bila Shaka zilikupa Ubunge wa Vitu Maalum uliufanyia nini Iramba?
Uliweka misingi gani ambayo CHADEMA ingejivunia baadaye?
Hivi uliwahi hata kuhudhuria vikao vya Madiwani uwakilishe mawazo yako kule huku ukijenga Chama. Sina uhakike Kama ulienda hata kuapishwa.
Jesca umwahahi kutembelea mara ngapi matawi ya CHADEMA, umefanya nini kupitia Ubunge wako kuhakikisha unaimarisha Chama huku vijijini?
Kuna kundi la watu huwa lina amini kuwa wanasiasa siasa ni ujanja ujanja na usanii penginekwa kuwatumia wajinga ili wao, wanasiasa waendelee kula. Watu hawa wanaweza kutumia mfano wako kujenga hoja zao.
Kwa mapenzi niliyo nayo kwa Siasa mbadala naomba niishie hapa. Kwa misingi dhaifu uliyoweka unachofanya ni ku bet ili vyovyote itakavyo kuwa urudi tena kula kwa Viti Maalum.
Vijana na pengine wazee watakao kuwa mnakimbizana na kumpigia kelele Mwigulu na CCM Wana machungu mioyoni mwao Ila hawana jinsi wanajua wewe ni mnufaika wa Mbichi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamiii, una nukia waridi bila shaka na wao mpaka Oktoba nao watahisi hako ka waridi
All the Best Dada!
Kama ndivyo mkuu si afadhali siku ya kupiga kura nikapige mtukura!Kumbe ndo kawafanyia hivi, nendeni na Mwigulu tu, no way
Pole!Pongezi nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi, makomredi bana utawajua tu. Kidumu Chama cha mapinduzi ndugu yangu.
Kama ni hivyo, si mshawisheni mnaeona anastahili achukue fomu za kugombea ubunge? Na kama atakatwa baada ya wengi wenu kumpigia kura yule ambae mtakuwa na imani ni bora kuliko Jesca hata kama ni wa chama kingine. Ila mkumbuke kuwa mbunge wa chama cha upinzani huwa anakuwa na wakati mgumu hasa kama halmashauri zimeshikwa na chama kingine. Aidha, alisema kuwa alikuwa akizuiwa kufanya shughuli zake kwa kubezwa kuwa yeye hana jimbo. Lakini ni vizuri sana kuwa umeweka mapungufu yake yote wazi ili kama atapata nafasi ya uwakilishi ajirekebishe na ajue kuwa kuna watu wanamfuatilia ili kuhakikisha kuwa anawatendea haki waliompigia kura.Awali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara!
Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana!
Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia. Mimi Ni mshiriki was Siasa za Iramba Magharibi nyuma ya jukwaa. Nikiamini kuwa hakuna mbadala wa kichocheo kikubwa Cha Maendeleo zaidi ya Utawala Bora, kwa msisitizo Good Gorvanance.
Mdogo wangu Jesca, nimekupongeza kwa ujasiri wako kuwa bado upo CHADEMA naomba pia nikupongeze pia kuwa mwaka huu pia umeamua kugombea Ubunge Iramba Magharibi.
Kwangu Mimi pongezi hizi za pili ni muhimu zaidi kwa kuwa nimeshangazwa kuwa eti umerudi like ulipokutelekeza.
Kisiasa hili linawezekana kwa kuwa nyie wanasiasa Front Liners huwa mnajali zaidi : Unapata Nini, Wapi na Njia gani utatumia kupata hicho
Jesca unakumbuka Hali ya kiafya uliyokuwa nayo katikati ya Kampeni Mwaka 2015? Unakumbuka kuwa Kuna watu walikuwa wanakufanyia Kampeni kwa niaba yako kwa maana uliwalipa?
Jesca unafahamu pia kuwa kuna kundi lingine lilikuwa mbele yako likikupigania wewe na CHADEMA bila kujali kuwa unawalipa, mnafahamiana au la?
Watu Hawa walitoa muda, rasilimali zao kuhakikisha kuwa Unapata kura zile kwa jasho na damu. Unafahamu Siasa za kishamba na kipumbavu anazofanya Mwigulu kwa maana hiyo Vijana wengine walihatarisha maisha yao kukupigania?
Jesca unafahamu Kuna watumishi wa umma walikuwa wanatoroka kazini kutoka mikoa ya mbali kwenda kusaidia CHADEMA na wewe haujawahi hata kutaka uwafamu?
Je, baada ya jitihada hizo zote ambazo bila Shaka zilikupa Ubunge wa Vitu Maalum uliufanyia nini Iramba?
Uliweka misingi gani ambayo CHADEMA ingejivunia baadaye?
Hivi uliwahi hata kuhudhuria vikao vya Madiwani uwakilishe mawazo yako kule huku ukijenga Chama. Sina uhakike Kama ulienda hata kuapishwa.
Jesca umwahahi kutembelea mara ngapi matawi ya CHADEMA, umefanya nini kupitia Ubunge wako kuhakikisha unaimarisha Chama huku vijijini?
Kuna kundi la watu huwa lina amini kuwa wanasiasa siasa ni ujanja ujanja na usanii penginekwa kuwatumia wajinga ili wao, wanasiasa waendelee kula. Watu hawa wanaweza kutumia mfano wako kujenga hoja zao.
Kwa mapenzi niliyo nayo kwa Siasa mbadala naomba niishie hapa. Kwa misingi dhaifu uliyoweka unachofanya ni ku bet ili vyovyote itakavyo kuwa urudi tena kula kwa Viti Maalum.
Vijana na pengine wazee watakao kuwa mnakimbizana na kumpigia kelele Mwigulu na CCM Wana machungu mioyoni mwao Ila hawana jinsi wanajua wewe ni mnufaika wa Mbichi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamiii, una nukia waridi bila shaka na wao mpaka Oktoba nao watahisi hako ka waridi
All the Best Dada!
Em tupia kapicha ka huyo jesca basi..!Mkuu usishabikie Jambo usilolijua ...kuniita Mimi kijana wa Mwigulu Ni tusi!
Chadema kuna rating, kama hakufanya lolote according to Chadema ratings, atafeli kupata marks za kutosha, keep cool!Awali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara!
Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana!
Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia. Mimi Ni mshiriki was Siasa za Iramba Magharibi nyuma ya jukwaa. Nikiamini kuwa hakuna mbadala wa kichocheo kikubwa Cha Maendeleo zaidi ya Utawala Bora, kwa msisitizo Good Gorvanance.
Mdogo wangu Jesca, nimekupongeza kwa ujasiri wako kuwa bado upo CHADEMA naomba pia nikupongeze pia kuwa mwaka huu pia umeamua kugombea Ubunge Iramba Magharibi.
Kwangu Mimi pongezi hizi za pili ni muhimu zaidi kwa kuwa nimeshangazwa kuwa eti umerudi like ulipokutelekeza.
Kisiasa hili linawezekana kwa kuwa nyie wanasiasa Front Liners huwa mnajali zaidi : Unapata Nini, Wapi na Njia gani utatumia kupata hicho
Jesca unakumbuka Hali ya kiafya uliyokuwa nayo katikati ya Kampeni Mwaka 2015? Unakumbuka kuwa Kuna watu walikuwa wanakufanyia Kampeni kwa niaba yako kwa maana uliwalipa?
Jesca unafahamu pia kuwa kuna kundi lingine lilikuwa mbele yako likikupigania wewe na CHADEMA bila kujali kuwa unawalipa, mnafahamiana au la?
Watu Hawa walitoa muda, rasilimali zao kuhakikisha kuwa Unapata kura zile kwa jasho na damu. Unafahamu Siasa za kishamba na kipumbavu anazofanya Mwigulu kwa maana hiyo Vijana wengine walihatarisha maisha yao kukupigania?
Jesca unafahamu Kuna watumishi wa umma walikuwa wanatoroka kazini kutoka mikoa ya mbali kwenda kusaidia CHADEMA na wewe haujawahi hata kutaka uwafamu?
Je, baada ya jitihada hizo zote ambazo bila Shaka zilikupa Ubunge wa Vitu Maalum uliufanyia nini Iramba?
Uliweka misingi gani ambayo CHADEMA ingejivunia baadaye?
Hivi uliwahi hata kuhudhuria vikao vya Madiwani uwakilishe mawazo yako kule huku ukijenga Chama. Sina uhakike Kama ulienda hata kuapishwa.
Jesca umwahahi kutembelea mara ngapi matawi ya CHADEMA, umefanya nini kupitia Ubunge wako kuhakikisha unaimarisha Chama huku vijijini?
Kuna kundi la watu huwa lina amini kuwa wanasiasa siasa ni ujanja ujanja na usanii penginekwa kuwatumia wajinga ili wao, wanasiasa waendelee kula. Watu hawa wanaweza kutumia mfano wako kujenga hoja zao.
Kwa mapenzi niliyo nayo kwa Siasa mbadala naomba niishie hapa. Kwa misingi dhaifu uliyoweka unachofanya ni ku bet ili vyovyote itakavyo kuwa urudi tena kula kwa Viti Maalum.
Vijana na pengine wazee watakao kuwa mnakimbizana na kumpigia kelele Mwigulu na CCM Wana machungu mioyoni mwao Ila hawana jinsi wanajua wewe ni mnufaika wa Mbichi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamiii, una nukia waridi bila shaka na wao mpaka Oktoba nao watahisi hako ka waridi
All the Best Dada!
Aisee ....inawezekana Mimi nikawa mjinga,I lakini Kama upo sirias' na ulichooandika...nawapa pole uzao wako!
Ndugu...Ndugai ndio Nani/niniUnamaanisha ndugai kafanya makubwa kongwa kupiko Jesca?
Acha uzwazwa....
Kidudumtu....Ndugu...Ndugai ndio Nani/nini
Google!Ila kaolewa Kigoma huyo!Em tupia kapicha ka huyo jesca basi..!
Tukianza kuulizana kwa style hii utakuta hakuna mtu atabaki salamaAwali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara!
Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana!
Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia. Mimi Ni mshiriki was Siasa za Iramba Magharibi nyuma ya jukwaa. Nikiamini kuwa hakuna mbadala wa kichocheo kikubwa Cha Maendeleo zaidi ya Utawala Bora, kwa msisitizo Good Gorvanance.
Mdogo wangu Jesca, nimekupongeza kwa ujasiri wako kuwa bado upo CHADEMA naomba pia nikupongeze pia kuwa mwaka huu pia umeamua kugombea Ubunge Iramba Magharibi.
Kwangu Mimi pongezi hizi za pili ni muhimu zaidi kwa kuwa nimeshangazwa kuwa eti umerudi like ulipokutelekeza.
Kisiasa hili linawezekana kwa kuwa nyie wanasiasa Front Liners huwa mnajali zaidi : Unapata Nini, Wapi na Njia gani utatumia kupata hicho
Jesca unakumbuka Hali ya kiafya uliyokuwa nayo katikati ya Kampeni Mwaka 2015? Unakumbuka kuwa Kuna watu walikuwa wanakufanyia Kampeni kwa niaba yako kwa maana uliwalipa?
Jesca unafahamu pia kuwa kuna kundi lingine lilikuwa mbele yako likikupigania wewe na CHADEMA bila kujali kuwa unawalipa, mnafahamiana au la?
Watu Hawa walitoa muda, rasilimali zao kuhakikisha kuwa Unapata kura zile kwa jasho na damu. Unafahamu Siasa za kishamba na kipumbavu anazofanya Mwigulu kwa maana hiyo Vijana wengine walihatarisha maisha yao kukupigania?
Jesca unafahamu Kuna watumishi wa umma walikuwa wanatoroka kazini kutoka mikoa ya mbali kwenda kusaidia CHADEMA na wewe haujawahi hata kutaka uwafamu?
Je, baada ya jitihada hizo zote ambazo bila Shaka zilikupa Ubunge wa Vitu Maalum uliufanyia nini Iramba?
Uliweka misingi gani ambayo CHADEMA ingejivunia baadaye?
Hivi uliwahi hata kuhudhuria vikao vya Madiwani uwakilishe mawazo yako kule huku ukijenga Chama. Sina uhakike Kama ulienda hata kuapishwa.
Jesca umwahahi kutembelea mara ngapi matawi ya CHADEMA, umefanya nini kupitia Ubunge wako kuhakikisha unaimarisha Chama huku vijijini?
Kuna kundi la watu huwa lina amini kuwa wanasiasa siasa ni ujanja ujanja na usanii penginekwa kuwatumia wajinga ili wao, wanasiasa waendelee kula. Watu hawa wanaweza kutumia mfano wako kujenga hoja zao.
Kwa mapenzi niliyo nayo kwa Siasa mbadala naomba niishie hapa. Kwa misingi dhaifu uliyoweka unachofanya ni ku bet ili vyovyote itakavyo kuwa urudi tena kula kwa Viti Maalum.
Vijana na pengine wazee watakao kuwa mnakimbizana na kumpigia kelele Mwigulu na CCM Wana machungu mioyoni mwao Ila hawana jinsi wanajua wewe ni mnufaika wa Mbichi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamiii, una nukia waridi bila shaka na wao mpaka Oktoba nao watahisi hako ka waridi
All the Best Dada!
Mkuu hapo kuna hoja inakuaje mtu unapata nafasi ya kuwakilisha watu katika eneo fulan then huonekani miaka kadhaa baadae unarud tena kuomba kwani shida inakuaga ni nini. Kwa nini usirudi tena eneo hilo na kushiriki nao kwenye shughuli za kijamii kwa hali na mali. Huwa siwaelewi watu wa aina hii, huwa wanaenda wapi baada ya uchaguzi na kushinda huwaoni tena.Tukianza kuulizana kwa style hii utakuta hakuna mtu atabaki salama
Why Jesca na sio wengine? Hili linatokea almost kwa Wabunge wote hasa wa CCM ambao wanategemea rushwa kupitishwa...sio jambo geni kwa siasa za TZMkuu hapo kuna hoja inakuaje mtu unapata nafasi ya kuwakilisha watu katika eneo fulan then huonekani miaka kadhaa baadae unarud tena kuomba kwani shida inakuaga ni nini. Kwa nini usirudi tena eneo hilo na kushiriki nao kwenye shughuli za kijamii kwa hali na mali. Huwa siwaelewi watu wa aina hii, huwa wanaenda wapi baada ya uchaguzi na kushinda huwaoni tena.
Nakubali na mimi nawazungumzia wabunge wote wenye kitabia hiki ambacho sio kizuri. Jesca alikuwa viti maalum ilitakiwa awe mstari wa mbele kurudisha fadhila na kuweka mazingira mazuri. Na kama haitoshi hawa wanachi sio kwamba wanahitaji mapesa mengi kutoka kwao just uwepo wao eneo husika huwa linaleta faraja sana.Why Jesca na sio wengine? Hili linatokea almost kwa Wabunge wote hasa wa CCM ambao wanategemea rushwa kupitishwa...sio jambo geni kwa siasa za TZ
Ni kweli mkuu ....Jesca tulimpa support kubwa Sana!Nakubali na mimi nawazungumzia wabunge wote wenye kitabia hiki ambacho sio kizuri. Jesca alikuwa viti maalum ilitakiwa awe mstari wa mbele kurudisha fadhila na kuweka mazingira mazuri. Na kama haitoshi hawa wanachi sio kwamba wanahitaji mapesa mengi kutoka kwao just uwepo wao eneo husika huwa linaleta faraja sana.
Namtakia kila la heri katika mapambano yake.
Sawa msaidieni tena yote heri mkuu, lakin kuna yule mtu wa kuvaa skafu ambaye kuna Prof kakimbia baada ya kuambiwa anamfuata mamba kwenye maji tulivu ajipange vizuriNi kweli mkuu ....Jesca tulimpa support kubwa Sana!
Ila hakufanya jitihada yoyote ya kujenga Chama,!
Nina wasi2 CHADEMA hawajaweka misingi ya kuhakikisha wabunge wake wa Viti Maalum wanafanya kazi kwenye majimbo husika.
Mamba majini Ni mdudu hatari,!Sawa msaidieni tena yote heri mkuu, lakin kuna yule mtu wa kuvaa skafu ambaye kuna Prof kakimbia baada ya kuambiwa anamfuata mamba kwenye maji tulivu ajipange vizuri
Awali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara!
Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana!
Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia. Mimi Ni mshiriki was Siasa za Iramba Magharibi nyuma ya jukwaa. Nikiamini kuwa hakuna mbadala wa kichocheo kikubwa Cha Maendeleo zaidi ya Utawala Bora, kwa msisitizo Good Gorvanance.
Mdogo wangu Jesca, nimekupongeza kwa ujasiri wako kuwa bado upo CHADEMA naomba pia nikupongeze pia kuwa mwaka huu pia umeamua kugombea Ubunge Iramba Magharibi.
Kwangu Mimi pongezi hizi za pili ni muhimu zaidi kwa kuwa nimeshangazwa kuwa eti umerudi like ulipokutelekeza.
Kisiasa hili linawezekana kwa kuwa nyie wanasiasa Front Liners huwa mnajali zaidi : Unapata Nini, Wapi na Njia gani utatumia kupata hicho
Jesca unakumbuka Hali ya kiafya uliyokuwa nayo katikati ya Kampeni Mwaka 2015? Unakumbuka kuwa Kuna watu walikuwa wanakufanyia Kampeni kwa niaba yako kwa maana uliwalipa?
Jesca unafahamu pia kuwa kuna kundi lingine lilikuwa mbele yako likikupigania wewe na CHADEMA bila kujali kuwa unawalipa, mnafahamiana au la?
Watu Hawa walitoa muda, rasilimali zao kuhakikisha kuwa Unapata kura zile kwa jasho na damu. Unafahamu Siasa za kishamba na kipumbavu anazofanya Mwigulu kwa maana hiyo Vijana wengine walihatarisha maisha yao kukupigania?
Jesca unafahamu Kuna watumishi wa umma walikuwa wanatoroka kazini kutoka mikoa ya mbali kwenda kusaidia CHADEMA na wewe haujawahi hata kutaka uwafamu?
Je, baada ya jitihada hizo zote ambazo bila Shaka zilikupa Ubunge wa Vitu Maalum uliufanyia nini Iramba?
Uliweka misingi gani ambayo CHADEMA ingejivunia baadaye?
Hivi uliwahi hata kuhudhuria vikao vya Madiwani uwakilishe mawazo yako kule huku ukijenga Chama. Sina uhakike Kama ulienda hata kuapishwa.
Jesca umwahahi kutembelea mara ngapi matawi ya CHADEMA, umefanya nini kupitia Ubunge wako kuhakikisha unaimarisha Chama huku vijijini?
Kuna kundi la watu huwa lina amini kuwa wanasiasa siasa ni ujanja ujanja na usanii penginekwa kuwatumia wajinga ili wao, wanasiasa waendelee kula. Watu hawa wanaweza kutumia mfano wako kujenga hoja zao.
Kwa mapenzi niliyo nayo kwa Siasa mbadala naomba niishie hapa. Kwa misingi dhaifu uliyoweka unachofanya ni ku bet ili vyovyote itakavyo kuwa urudi tena kula kwa Viti Maalum.
Vijana na pengine wazee watakao kuwa mnakimbizana na kumpigia kelele Mwigulu na CCM Wana machungu mioyoni mwao Ila hawana jinsi wanajua wewe ni mnufaika wa Mbichi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamiii, una nukia waridi bila shaka na wao mpaka Oktoba nao watahisi hako ka waridi
All the Best Dada!