RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Nguli wa siasa za Tanzania na mzalendo wa kweli anayejulikana kama socialist Dr.Bashiru ni mwanasiasa pekee ambaye hawezi kuchangia chochote kwenye taarifa ya CAG kwani anajuwa vizuri kuwa akitoa neno lolote la kushauli vijana wale watamporomoshea matusi kwa kuwa hawana hoja Zaidi ya matusi yaliyomo vichwani mwao .
Wapo mawaziri wengi serikali ya awamu ya sita ni mzigo mkubwa na wanalindwa na mfumo na kilanja wao mkuu ameruhusu wale kulingana na urefu wa kamba yao ! Anayejuwa tangu taarifa za CAG itolewe Mwaka 2021/2022 kuna kiongozi yeyote aliyechukuliwa hatua kwa ubadhilifu aje hapa atuambie..
Kwa hiyo mnagoyaona CCM wao kwa wao wakilialia ni kiini macho lao ni moja kwani hamjaona kwenye mkataba wa bandari walivyokuwa wanatukana Hadi wapinzani nini kimetokea baada ya hapo ! Kwa hiyo ni vizuri mjue kuwa CCM waliiwengi ni genge la wahalifu na wabadhilifu wa Mali za umma ! Ukihoji unaporomoshewa matusi kwa hiyo ndiyo maana wenye uelewa wanakaa kimya kwa kigezo Bora liende.
Wapo mawaziri wengi serikali ya awamu ya sita ni mzigo mkubwa na wanalindwa na mfumo na kilanja wao mkuu ameruhusu wale kulingana na urefu wa kamba yao ! Anayejuwa tangu taarifa za CAG itolewe Mwaka 2021/2022 kuna kiongozi yeyote aliyechukuliwa hatua kwa ubadhilifu aje hapa atuambie..
Kwa hiyo mnagoyaona CCM wao kwa wao wakilialia ni kiini macho lao ni moja kwani hamjaona kwenye mkataba wa bandari walivyokuwa wanatukana Hadi wapinzani nini kimetokea baada ya hapo ! Kwa hiyo ni vizuri mjue kuwa CCM waliiwengi ni genge la wahalifu na wabadhilifu wa Mali za umma ! Ukihoji unaporomoshewa matusi kwa hiyo ndiyo maana wenye uelewa wanakaa kimya kwa kigezo Bora liende.