Jeremiah John Pombe apasua Darasa la Saba

Jeremiah John Pombe apasua Darasa la Saba

Lakini mbna shule ya FEZA ni ya kawaida sana Hata mlalahoi anauwezo kabsa wa kumsomesha mwanae hapo
 
Kweli hakuna utani kwenye kubeba msalaba wa umaskini unajikuta nikama unaonewa kila sehemu....

Ni ustaharabu wa asili mfalme kuvaa kifalme...
 
Mama Janet mbona watoto wake ni wakubwa au huyu ni wa mchepuko? Ninakumbuka wakati wa msiba wa Didasiassburi alisema wanaume wa kisfrika hawana mtoto cha ndzni wala wa nje wote ni watoto
Huyu ni wa mchepuko, ila mama Jeremiah yupo bright sana she is a master holder in Business administration after her BSC. Jeremiah kafuata à kili za mama yake. Mama yake ndo yule alieuziwa nyumba ya serikali.
 
Safi,Haya tunaomba tuwekewe bei ya ada ya hiyo shule ya wanyonge ili sisi wanyonge tukasomeshe huko watoto wetu!!!

Hivi kuna mnyonge anaemudu ada ya shule ya msingi shs 4mln?!! Ada hii ni ghali kuliko ada ya chuo cha elimu ya juu Tanzania.

.........Shule za Feza International za chekechea, msingi na sekondari zilizoko Kawe, Mikocheni, na Tegeta kwa wasichana na wavulana hutegemea ngazi ya elimu.

“Mtoto wa shule ya msingi analipiwa Sh4 milioni kwa mwaka na yule anayeanza sekondari analipia zaidi ya Sh7 milioni. Kwa shule ya msingi ada pekee ni Sh2.9 milioni bila kuhusisha gharama nyingine kama chakula, malazi, vifaa na usajili,” alieleza mmoja wa wazazi ambaye ana mtoto wake anasoma moja ya shule hizo.

Source. Shule Dar yatoza Sh60 milioni
kama mwanao ana akili anaweza soma feza bure, namfahamu mtu amesoma shule ya serikali akapata wastani A na kuna somo alipata 50/50 na akawa Tanzania one kwa hilo somo, akapewa interview feza na kupewa nafasi bure.

wanachanganya watoto wa matajiri na watoto wenye vipaji maalum.

hivyo kama uwezo wa kifedha ni mdogo jitahidi afaulu vizuri atapata shule nzuri.
 
Shule ya wanyonge?minilijua watoto wa mpenda haki wapo kayumba!!!
Haya ni mawazo ya kimasikini hivi nikiwa natetea wanyonge na mimi natakiwa kuishi kinyonge?Watz watu wa ajabu sana yaani unataka kuniambia niwapeleke watoto wangu shule za kayumba eti kisa natetea wanyonge?hiyo haipo kabisa hizo ni fikra finyu
 
Back
Top Bottom