Jeremiah John Pombe apasua Darasa la Saba

Jeremiah John Pombe apasua Darasa la Saba

Kwa hili mmechemsha aisee

Hata mimi siwezi somesha mwanangu shule zisizoeleweka hata kama nawatetea hao wasioeleweka
Ni kweli mkuu, kila mtu anayo haki ya kumpatia mtoto wake kitu anachoweza kulingana na kipato chake!

Sidhani kama kuna mwanasiasa ambaye mtoto wake anasoma shule za wananchi hizi..

Nikimkuta mtoto wa mwanasiasa yupo shule za kawaida hizi za mwalimu kuuza kashata na kachori nitajua fika hampendi hata kidogo huyo mtoto!
 
You are such a SOLID imbecile!!

Total imbecility is when first,
One struggles in grabing some
Simply presented contextual ironies and then
He/She Opt to thinking that deriding the subject instead of discussing the issue is the smartest idea.
 
View attachment 613551
View attachment 613552
Mtoto Jeremiah John Pombe anayesoma shule ya Watanzania Maskini wanyonge Feza Primary School amepasua katika mitihani yake ya darasa la saba baada ya kupata A zote katika mitihani hiyo

Hongera mtoto wa familia ya JPM

View attachment 613554 Watoto wa Feza wakisoma katika mazingira magumu

View attachment 613555
Watoto wa Nanjilinji wakisoma katika mazingira rafiki
Human being cancers criticising, complaining, compiting and..name it ...
 
Angesoma shule hizi za kawaida bado mngesema rais anashindwa kupeleka watoto wake shule za maana. Yaani kama mtaingiza siasa hata kwenye maisha binafsi ya familia ya rais siyo fair kabisa. Huu wivu wa kike hauwezi kukuondoleeni shida, kama wewe unashindwa kupeleka wanao huko, let those who afford send their kids. Hata vidole havilingani
Upo kwenye akili zetu!?
 
Kipindi me namaliza form four. Mtoto wa JK alikuwa Feza apo na alitaga. Any way acheni unafki. Hata kama ni kuwa mzarendo sio kiivo.
 
Msimzonge mkuu wetu wa nchi.Hata mbinguni mungu anatambua kuna mabwana na watwana angesoma chini ya mwembe msingekosa cha kuongea
 
ningependa kujua aina ya shule wanazosoma watoto wa wanasiasa wa vyama vya upinzani
 
Yaani baadhi ya watu kwa kulalamika tu hawajambo. Mnastahili pongezi. Kwa kweli, ni. Ujinga mnoo kuingilia maisha binafsi ya mtu. Chuki za kijinga, you name it..
 
This world is not fair hakuna kipindi ambacho kitu cha private kitalingana na kitu cha public.Kikubwa ni wewe kupambana ili ikiwezekana wanao waje wasome katika hayo mazingira japo sometimes sio rahisi kuwezekana.
 
Hata ungekuwa wewe ndo rais ungempeleka wapi mtoto wako? TUACHE UNAFIKI
Ukizingatia mwenyewe mkulu anatuaminisha ya kuwa elimu ya serikali yake anataka kuiboresha kwa kuifanya iwe nzuri na ya kisasa,sasa kama kweli anania yakweli ya kuzifanya shule za serikali ziwe nzuri na bora basi anatakiwa aanze yeye kutuaminisha angalau mmoja wa wanafamilia yake asome katika mojawapo ya shuri za serikali
 
Mwakani matokeo yakiwa na majina ya wanafunzi mtaniambia!Mwanaasha alisababisha Necta wasitoe matokeo na majina baada ya maneno kama haya
 
Back
Top Bottom