spacecraft
Member
- Dec 29, 2016
- 64
- 59
View attachment 613551
View attachment 613552
Mtoto Jeremiah John Pombe anayesoma shule ya Watanzania Maskini wanyonge Feza Primary School amepasua katika mitihani yake ya darasa la saba baada ya kupata A zote katika mitihani hiyo
Hongera mtoto wa familia ya JPM
View attachment 613554 Watoto wa Feza wakisoma katika mazingira magumu
View attachment 613555
Watoto wa Nanjilinji wakisoma katika mazingira rafiki
mtoa uzi mungu anakuona
