Safi,Haya tunaomba tuwekewe bei ya ada ya hiyo shule ya wanyonge ili sisi wanyonge tukasomeshe huko watoto wetu!!!
Hivi kuna mnyonge anaemudu ada ya shule ya msingi shs 4mln?!! Ada hii ni ghali kuliko ada ya chuo cha elimu ya juu Tanzania.
.........Shule za Feza International za chekechea, msingi na sekondari zilizoko Kawe, Mikocheni, na Tegeta kwa wasichana na wavulana hutegemea ngazi ya elimu.
“Mtoto wa shule ya msingi analipiwa Sh4 milioni kwa mwaka na yule anayeanza sekondari analipia zaidi ya Sh7 milioni. Kwa shule ya msingi ada pekee ni Sh2.9 milioni bila kuhusisha gharama nyingine kama chakula, malazi, vifaa na usajili,” alieleza mmoja wa wazazi ambaye ana mtoto wake anasoma moja ya shule hizo.
Source.
Shule Dar yatoza Sh60 milioni