Jeremiah John Pombe apasua Darasa la Saba

Huku ni kukosa hoja nazani mada kama hizi hazina mashiko na wew pambana na maisha mtto wako uumsomeshe shule unayotaka,,,yani nyie nyumbu mnsumbua kweli kwa akili hizi alafu tuwape inchii?
 
Hata ungekuwa wewe ndo rais ungempeleka wapi mtoto wako? TUACHE UNAFIKI
Shida sio unafiki bora angeboresha hizi shule atleast ziwe middle class. Lakini watoto vumbi, walimu haukuna kama wapo hata kama wapo wanafundishia mazingira magum bila remuneration zozote. Mi mwenyewe siwezi mpeleka kwasababu ya mazingira ya huko
 
Sasa kama kasoma feza ulitaka apate marks gani? Angekuwa amesoma shule yenye jina la kijiji kweli ukipata A zote hapo ndo ingekuwa story
Ni story kwa sababu babake ni mzalendo namba moja Tz..na lengo la mzalendo ni kuwa karibu kimatendo na wananchi wanyonge..Tulitegemea huyo mtt angesoma shule ya msingi Chato..ili tuuone umahiri wake..sasa huko Feza kwa waturuki wanyonge uwezo tunao?Afrika hakuna rais wa kuwapeleka watoto wake st kayumba..hao ni wafalme..ni chungu but ni lazima tumeze
 
View attachment 613551
View attachment 613552
Mtoto Jeremiah John Pombe anayesoma shule ya Watanzania Maskini wanyonge Feza Primary School amepasua katika mitihani yake ya darasa la saba baada ya kupata A zote katika mitihani hiyo

Hongera mtoto wa familia ya JPM

Mods sijakosea jukwaa

View attachment 613554 Watoto wa Feza wakisoma katika mazingira magumu

View attachment 613555
Watoto wa Nanjilinji wakisoma katika mazingira rafiki
You are such a SOLID imbecile!!
 
Mkuu wameanza kwenye siasa wameshindwa sasa mtu anaanza kwenye familia ndio maana bongo watu wengi tunakua masikini kwaaji ya kutanguliza mdomo kwa mambo ya watu huku ya kwetu hatupambani nayo
Rais kupeleka watoto Feza hakumuondolei uzalendo. Kazaliwa mzalendo tu,hata wafanyeje hawa Chadema!
 
Miaka ya 80-90+ watoto wa vigogo walisoma hizo shule Za walala hoi, ila sasa wana tuzuga wakati watoto wao wapo shule za gharama. Inawezekana mtoto wapo Jaffo asome chanzige primary wakati zipo ambazo watoto wana cheza na computer na muda wa break analala special room na usafiri wa kumwaga?
 
Mama Janet mbona watoto wake ni wakubwa au huyu ni wa mchepuko? Ninakumbuka wakati wa msiba wa Didasiassburi alisema wanaume wa kisfrika hawana mtoto cha ndzni wala wa nje wote ni watoto
 
Back
Top Bottom