kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,976
Ni mkubwa namfahamu sana mkuu na alihama toka mwanza akiwa darasa la 4 shule flani ndo maana nikauliza hivyoYule wa mmewe bado mdogo bwana, kwanza Jeremiah anaishi kwa baba yake. Na Janeth anamtunza vizuri kama mwanae tu.