Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Retired ni Psychatric caseWadau
Hivi Magufuli huwa haoni aibu anaplpita pale ubungo hasa akiangalia ile interchange ilivyo na lile jengo la Tanesco aliliolibomoa
Simba Wamekwenda Kubadili Upepo Huko Huko Chato & Burigi National ParkMuulize akirudi toka Chato ikopeleka simba
Tatizo halikuwa jengo, tatizo alidanganywa kuwa jengo linamilikiwa na Lowasa (Kipindi hicho kumbuka alikuwa upinzani)Ushamba umemjaa!!!
Daraja lipo kwingine na jengo lipo mbali kabisa sidhani kama kulikuwa na haja ya kuvunja lile jengo la tanesco
Kwani mmiliki wake ninani? Lowassa au tanescoTatizo halikuwa jengo, tatizo alidanganywa kuwa jengo linamilikiwa na Lowasa (Kipindi hicho kumbuka alikuwa upinzani)
Kwa hiyo kwa akili zake ndo,mpinzani wake kisiasa hana haki ya kumiliki mali hapa Tanzania? sasa tangu amebomoa amepata nini? upinzani ndo umeisha?Tatizo halikuwa jengo, tatizo alidanganywa kuwa jengo linamilikiwa na Lowasa (Kipindi hicho kumbuka alikuwa upinzani)
Ulijuaje Kama amemaliza michakato yote? alikuwa ameshapewa offer letter?Nikisikia neno tanesko huwa natetemeka mwili mzima nikikumbuka namna jamaa yangu alivyonyimwa kibarua hata baada ya kupita mihakato yote. Yaani walifuta tu hilo zoezi la kuajiri, sijui waliwapa nafasi ndugu zao??
Hivi huwa unapata dawa zako kwa wiki au baada ya mwezi?Mimi Retired ni Psychatric case
Simba Wamekwenda Kubadili Upepo Huko Huko Chato & Burigi National Park
Sijawahi ndio, ila huwez juaKama hujawahi kufika dar basi hata ukiwekewa hizo picha haita kusaidia kitu
Sent using Jamii Forums mobile app