kiletza
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 537
- 923
Muda wake ukiisha itabidi tumburuze sana mahakamaniKisa mihemko ya mtu mmoja?je kama huu si uhujumu uchumi ni nini basi?
Ushamba umemjaa!!!
Daraja lipo kwingine na jengo lipo mbali kabisa sidhani kama kulikuwa na haja ya kuvunja lile jengo la tanesco
Unapigaga miti wanaume?
Akili za PHD zileeeeKwa hiyo kwa akili zake ndo,mpinzani wake kisiasa hana haki ya kumiliki mali hapa Tanzania? sasa tangu amebomoa amepata nini? upinzani ndo umeisha?
Sasa ubungo kuna maajabu gani hata mtu wa nanjilinjili hawezi kupashangaa kweuuuuupe vijengo vya ajaaaabu hahahaKm hujawahi kupita UBUNGO achana na mambo ya picha, itakuvuruga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
P
Picha hii ni ya uzinduzi wa kuvunjwa kwa hilo jengo !?
Ushamba umemjaa!!!
Daraja lipo kwingine na jengo lipo mbali kabisa sidhani kama kulikuwa na haja ya kuvunja lile jengo la tanesco
Kumbe wakati Magufuri akiwa waziri wa ujenzi Lowasa alikukuwa upinzani,,??Tatizo halikuwa jengo, tatizo alidanganywa kuwa jengo linamilikiwa na Lowasa (Kipindi hicho kumbuka alikuwa upinzani)
Lengo lake lilikuwa ni kumkomoa Lowassa..........Ushamba umemjaa!!!
Daraja lipo kwingine na jengo lipo mbali kabisa sidhani kama kulikuwa na haja ya kuvunja lile jengo la tanesco
Sasa si arudishi alikobomoa maana Lowasa ameshatubu na kujirudi?Tatizo halikuwa jengo, tatizo alidanganywa kuwa jengo linamilikiwa na Lowasa (Kipindi hicho kumbuka alikuwa upinzani)
Barabara IPO mbali kabisa na jengo nahisi kuna umbali zaidi ya Mita 60 kutoka barabaran Hadi Kwenye jengoAcha utani.
Ina maana barabara haipiti karibu na jengo la tanesco?
Huyu babaa anayemshauri ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app