Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 4,676
- 3,393
sio Mbunge wenu wa zamani kavunja kweli? maana mnamwita Uviko 19😀
nani aliipa maradhi ?Mama anaponya nchi.
Hicho kijichumba ndio ofisi?
CCMnani aliipa maradhi ?
Hii c ofic hilo ni sanduku la kura au?Hiyo ni ofisi!!!??
ipige picha vizuri
Huyo ni Joshua Nassari eeh?! Ngoja kiburi yake tutaimaliza, aongee na Sabaya amweleze.Nchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
Mama ndiye kabomoa? Yaani jinsi alivyo busy kuijenga upya nchi anawezaje kuhangaika na kakibanda tena vijijini Bunda huko? Siku pakibomolewa Ufipa ndiyo tunaweza kumuhusisha yeyeNawasubiri wale waliokua wanasema mama anaiponya nchi waje hapa.
Unajua MaDC Kama hawa dawa Yao NI moja Tu. KumlaaniNchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
Mama anaponya nchi 😄😄😄😄Mama ndiye kabomoa? Yaani jinsi alivyo busy kuijenga upya nchi anawezaje kuhangaika na kakibanda tena vijijini Bunda huko? Siku pakibomolewa Ufipa ndiyo tunaweza kumuhusisha yeye
Tuendelee kuiponya nchi 😄😄Ila hilo jengo tumepigwa aisee, ni mchanga mtupu no cement
Nassari huyu huyu aliyelelewa na CHADEMA?!
Hakuna ofisi hapo, kawaambia watoe matofali yao barabarani.Hiyo ni ofisi!!!??
ipige picha vizuri
Kimfaacho mtu ni chakeHicho kijichumba ndio ofisi?
HUU NI UHUNI WA CHADEMA AU CHAGADEMA WANATQAKA KULETA TAHARUKI KWA JAMII WAONEKANE WANAONEWA WANAVUNJA WENYEWE HAKUNA MTU MWENYE AKILI TIMAMU AKAFANYA HUO UJINGA CHADEMA WAHUNINchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
MBOWE ANAJUWA SAANANE CHACHA WANGWE NA KILA MADHIRA YA CHADEMA MBOWE NI MHUSIKA YAANI ANAJIFANYA KONDOO KUMBE MBWA MWITU SASA HIVI KAPATIKANA ATANYOOKA TUHata mlivyomla nyama Saanane mlisema hivi hivi.
Na mlipomuua Kamanda Mawazo mlisema hivi hivi.
Mnapoteka watu mnasema hivi hivi.
Mlipomshambulia Lissu kwa bunduki za kivita mlisema hivi hivi.