Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

..,Narudia, CHAWA Utawajua TU!...Hayo MAJIBU ya Waziri wa Elimu na Waziri wa Afya, Yana jipya Gani ambalo hatujakusikia huko Nyuma kiasi kwamba yamekuwa kama Santuri iliyokwama na inajirudia rudia na haiendi mbele?? Fungus Macho !...!!!
Umeishakunywa chai Ndugu?
 
Ikulu ya dodoma imejengwa na Magufuli na siyo samia
 
Ikulu ya dodoma imejengwa na Magufuli na siyo samia
 
...Unakuwa Wajibu Wetu vipi wa Kumuombea Kwa Mungu kama haendeshi Nchi Vizuri ??[emoji848]
Ungeweza Kumuombea mema Kwa Mungu Iddi Amina Dada wa Majirani ?? [emoji848][emoji848]
Yes mkuu
Usipomuombea kwa Mungu amlinde na kumuongoza jiandae kuishi kama mkimbizi kwa sababu shetani atashika usukani kumuongoza.

Iddi Amin alikuwa adui wa Nyerere hadi kuwa adui wa Taifa.

Mungu anawanyeshea mvua za baraka wema na wabaya
 
Yes mkuu
Usipomuombea kwa Mungu amlinde na kumuongoza jiandae kuishi kama mkimbizi kwa sababu shetani atashika usukani kumuongoza.

Iddi Amin alikuwa adui wa Nyerere hadi kuwa adui wa Taifa.

Mungu anawanyeshea mvua za baraka wema na wabaya
Good point
 
...Na tunaaminishwa kuwa ni Nchi ya ' Amani, Utulivu na Mshikamano'!
Nchi wanazouana Ovyo kama Marekani Ikulu ni Mahali pa Wananchi kutembelea na kupiga picha za Ukumbusho.kwenye Fence yake. Jaribu Tanzania....!!?
Amani ya Tanzania imejengwa kupitia uoga na hofu zinazopandikizwa kwa wananchi
 
Ulitaka lijengwe kama kanisa la zumaridi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nacheka nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni maajabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…