MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,978
- Thread starter
-
- #181
Nshakujua wewe,....hizi ni hasira za Kukosa mualiko! Pole sana Ndugu.Nitasema Kweli Daima, fitina kwangu mwiko.
Je ninayoyakosoa ni ya uongo kwani?
Naunga vipi mkono mambo yanayolifanya Taifa na jamii kuwa kwenye mkwamo?
Chama changu kimekumbatia matajiri na majambazi
Nafika sana Ikulu mkuu.Nshakujua wewe,....hizi ni hasira za Kukosa mualiko! Pole sana Ndugu.
Na ndio maana nikasema , wale wote wasiokua wazelendo hawapaswi kufika IKULU
Ni kweli kabisa, enzi za Mwl tulikuwa tunakatiza jirani kabisa na fensi ya Ikulu na kuwashangaa Tausi na wanyama wengine bila tatizo lolote. It was public place...Pale Magogoni ikulu ikageuzwa kuwa isolated area ambapo hata kupita pembeni ya ukuta iligeuzwa kosa la jinai. Barabara ya Barack Obama imefungwa imegeuka private road......
Yaani nchi hii raia wamegeuka kuwa adui namba moja wa serikali.
Haya mambo yalianzia kwa JK na baadaye JPM ndo kabisaa hali ikawa tete
Leo haujaonekana. Kulikoni?Nafika sana Ikulu mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwigulu yule ni Daktari wa mifugoKesho naamia Burundi in mwigulu's voice View attachment 2628489View attachment 2628490View attachment 2628491
Basi mmekasiriiika wenyewe.Jengo linaloleta kumbukumbu za utumwa wa waafrica kwa mwarabu.
Bungeni kila siku wanaanza na dua, viongozi kila siku wakiungia madarakani wanaapa, tena kwa kushika vitabu vya dini lakini bado hawatendi haki, wanafanya ufisadi, wanadhulumu, wanaonea raia nk sasa unadhani hiyo dua yako ndiyo italeta mabadiliko?? Ikiwa unayelazimisha aombewe hana hata chembe ya kumuogopa Mungu unatarajia nini hapo? [emoji12] [emoji12]Hata kama haendeshi nchi vizuri, ni wajibu wetu kumuombea kwa Mungu amuongoze na kumlinda kiongozi wetu kwani yeye ndiye hutoa ulinzi na hekima
Kama kawaida ma engineer na wasanifu majengo ambao elimu yenu imetokana na uzòefu wa muda mrefu kwenye udalali wa nyumba na viwanja mnaanza kutusumbua jukwaaniYaani hata architects wa Victorian age wasinge design utopolo kama huu
...'Sio Mahali pa Kukimbilia !'....
Wewe umejuaje kuwa hamuogopi Mungu?Bungeni kila siku wanaanza na dua, viongozi kila siku wakiungia madarakani wanaapa, tena kwa kushika vitabu vya dini lakini bado hawatendi haki, wanafanya ufisadi, wanadhulumu, wanaonea raia nk sasa unadhani hiyo dua yako ndiyo italeta mabadiliko?? Ikiwa unayelazimisha aombewe hana hata chembe ya kumuogopa Mungu unatarajia nini hapo? [emoji12] [emoji12]
Akili za kiboya hizi...Ulishasema KENYA, hapa ni Tz Bob!!!! Ni suala la uamuzi tu.
Hata wewe unaweza kuamua kuishi kwenye nyumba ya Tembe , huku jirani Yako akiishi katika nyumba ya masauzi.
Kumbuka sisi ni Matajiri sana kuliko hao kina Makenzi. Hatuwezi kuishi kiboyaboya
[emoji23]shida ya watu wanaitizama kwa nje tuh ila unambiwa ramani ya hapo ndani unaweza kuingia leo ukatoka mwakani kama we ni mkwea madafu
kilicho kushitua apo ni hiyo taraza ukutaniView attachment 2628292View attachment 2628293View attachment 2628294
Victorian Architecture. Miaka 200 iliyopita. Sisi tunakuja kujenga pagala halafu gharama yake sasa unaweza kuzirai
Hatuwezi kujenga majengo yetu kwa mfumo wa akina Brian Deacon.Mzee kipusa,sawa uzalendo,Ila Sasa kwa Nini watukumbushe biashara ya utumwa lakini?
Tumia akili yako, ingia Google, unaweza kukuta wewe ndiye mwenye faili pale Mirembe...Hivi nyie mnaosemaga Kenya imeizidi Tanzania huwa mmelogwa au?
Sio kweliAkili za kiboya hizi...