jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Mkuu Consigliere , ebu njoo huku Maana naona kuna upotoshaji!
Mkuu jmushi1 niliifahamu hii kitu tangu ikiwa kwenye mchakato. Uhusika wa Mkapa ni allegations tu. Wala hakuwahi kuwa na hata hisa mija kwenye hiyo Bank.Mkuu Consigliere , ebu njoo huku Maana naona kuna upotoshaji!
Hahaha!! Kilikuwa kipindi cha rais yupi mkuu?Kama una akiba yako huko Bank M, basi iondowe haraka sana maana inaweza ikafilisika na wewe kupoteza akiba yako yote.
Mkuu kwa hiyo wateja wenye salio mule sahv wanasaga meno!Kikwete Mkuu AKA Dhaifu.
Mkuu kwa hiyo wateja wenye salio mule sahv wanasaga meno!
Ila shareholders wote walipoona mambo ynakwenda sivyo walitoa mpunga wao kwa style ya kujikopesha?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app