Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,193
- 5,124
Yes , tumeona mapinduzi hapa kama yooote yametokea so mimi naulizia je wanashtakiwa kwenyw ile mahakama ya mchongo iliyomtoa kijasho prof.mruma?
Au hiyo haiwahusu hizo nchi za kijeshi mfano Burkina Faso/ Mali/ Niger na France katika uchimbaji wa madini na uranium.
Au ni sisi tu bongo zuzu tunaoingia mikataba ya kuuza rasilimali zetu daima? ndo zinatushikisha vinywereo?
Au hiyo haiwahusu hizo nchi za kijeshi mfano Burkina Faso/ Mali/ Niger na France katika uchimbaji wa madini na uranium.
Au ni sisi tu bongo zuzu tunaoingia mikataba ya kuuza rasilimali zetu daima? ndo zinatushikisha vinywereo?