Je, Wizara ya Elimu Uteuzi huu ni sahihi?

Mkuu weka matokeo yake kwa ujumla tujue namna ya kukushauri na sio kulaumu.

Sometimes watu hawasomi ili watimize ndoto zao ila ni kwa namna matokeo yako unayoyapata ndio yanakupa mwelekeo.

Vile vile kamaa hujaridhika unaweza kumuhamisha kumpeleka private schoools.

CBG ni ngumu kuwa daktari maana Md wanataka PCB tena uwe na divishen one.
Cbg daktari wa mifugo hasomei wa binadamu
 
mathematics nayo inaangaliwa sanaaaa
Bilashaka alipata 3 huyo
Maana wenye dv 2 wote wamepangwa advance
Alafu kumbuka f hesabu inamaanisha ata bam hatoziweza maana hao CBG wanasoma BAM
Kuna unapesa muombe vyuo vya afya aanze na diploma kama physics kafaulu
 
Physics ndo kiungo coz za afya kama anajiweza arudie physics na maths afanye mtihani na wenzake
Mkuu matokeo yake yanasomeka hivyo..
Chemistry -C
Biology- C
Goegraphy- D
Civics -D
English-C
History- D
Physics -F
Mathematic-F
Litreture - D
Kiswahili-C
 
Ndugu yangu MD au course za afya kama pharmacy na medical LA. Kupata kwa 2 ni ngumu competition kali,.....ukitaka kupata labda round ya kwanza uombe Kiu ada 6.7m kwa mwaka.
Uliomba vyuo vingapi? Usikute uliomba chuo kimoja tu.
 
Mkuu matokeo yake yanasomeka hivyo..
Chemistry -C
Biology- C
Goegraphy- D
Civics -D
English-C
History- D
Physics -F
Mathematic-F
Litreture - D
Kiswahili-C
ONDOA SHAKA mzazi wangu, kuliko kuingia gharama kubwa kumsomesha chuo, bora unikabidhi mie kijana wetu hapa shuleni kwangu IBRA HIGH SCHOOL (dodoma - kondoa) nakuhakikishia atafaulu hiyo CBG ili atimize ndoto zake.
 
Mkuu matokeo yake yanasomeka hivyo..
Chemistry -C
Biology- C
Goegraphy- D
Civics -D
English-C
History- D
Physics -F
Mathematic-F
Litreture - D
Kiswahili-C
Huyu kiujumla hana comb kwa sabab masomo yanayobeba combinations (history, physics na geo hajayafaulu
 
Kwa matokeo hayo hawezi soma course yeyote ya Afya, muache aende huko chuo alikopangwa.
 
Kama una hela aanze certificate Assistant clinical officer miaka miwili,akimaliza apige Clinical officer mwaka mmoja baada ya hapo atapiga degree nahisi atapunguziwa miaka sidhani atapiga sita tena
Haipungui kwa degree utapiga mi5 na internship 1na ada ya degree ukikosa mkopo au vyuo vya serikalini ni shida make ada ya private kwa maisha ya kawaida ni balaa
 
Mkuu weka matokeo yake kwa ujumla tujue namna ya kukushauri na sio kulaumu.

Sometimes watu hawasomi ili watimize ndoto zao ila ni kwa namna matokeo yako unayoyapata ndio yanakupa mwelekeo.

Vile vile kamaa hujaridhika unaweza kumuhamisha kumpeleka private schoools.

CBG ni ngumu kuwa daktari maana Md wanataka PCB tena uwe na divishen one.

HII NI KWA TZ ILA NCHI NYINGI WANAANGALIA BIOS AND CHEMISTRY
 
Mkuu matokeo yake yanasomeka hivyo..
Chemistry -C
Biology- C
Goegraphy- D
Civics -D
English-C
History- D
Physics -F
Mathematic-F
Litreture - D
Kiswahili-C
Hakuna Doctor hapo. Hapo Pana Afisa Mifugo
 
BTW, kijana kapata F ya hesabu za O Level napata wasi wasi sana kama ataweza mikiki mikiki ta medical school.
 
Kama una hela aanze certificate Assistant clinical officer miaka miwili,akimaliza apige Clinical officer mwaka mmoja baada ya hapo atapiga degree nahisi atapunguziwa miaka sidhani atapiga sita tena
Kwann apunguziwe miaka ya kusoma degree??
 
Kwann apunguziwe miaka ya kusoma degree??
Punguzo linaanza hapo kwenye diploma anasoma mwaka mmoja badala ya mitatu kwa sababu ashapiga miwili certificate hiyo inaitwa upgrading maana sio mgeni kama wengine na akitoka hapo ameshapiga mitatu fani hiyo hiyo basi degree anapunguziwa hawezi piga tena sita yote
 
Wakuu na wahusika wa Elimu, Mwanangu amehitimu kidato cha Nne na kupata matokeo yasiyo ridhisha kwa hesabu amepata (F) ndoto zake ni kuwa Daktari combination zimekubali, CBG lakini ajabu uteuzi umetoka (selection) amepangiwa kwenda Chuo cha biashara tawi la Mwanza (CBE) je hii ni sahihi?

Huku sio kuua ndoto za wataalam tunao wahitaji katika jamii yetu?

Msaada tafadhari..
Abadilishe hiyo cozi asome hata nursing diploma
 
Mkuu matokeo yake yanasomeka hivyo..
Chemistry -C
Biology- C
Goegraphy- D
Civics -D
English-C
History- D
Physics -F
Mathematic-F
Litreture - D
Kiswahili-C

BADO MATOKEO YAKE NI YAKAWAIDA SANA KUTOKANA NA COMPETITION , ANGALAU ANGEKUA NA C AU D YA PHYSIC ALAFU CHEMISTRY AND BIOLOGY B AND ABOVE APO ANGEKUA KWENYE NAFAS NZURI ZAID
 
Back
Top Bottom