getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Wakuu na wahusika wa Elimu, Mwanangu amehitimu kidato cha Nne na kupata matokeo yasiyo ridhisha kwa hesabu amepata (F) ndoto zake ni kuwa Daktari combination zimekubali, CBG lakini ajabu uteuzi umetoka (selection) amepangiwa kwenda Chuo cha biashara tawi la Mwanza (CBE) je hii ni sahihi?
Huku sio kuua ndoto za wataalam tunao wahitaji katika jamii yetu?
Msaada tafadhari..
Huku sio kuua ndoto za wataalam tunao wahitaji katika jamii yetu?
Msaada tafadhari..