WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
- Thread starter
- #21
we are talking about how to get the unneeded junk to those in need.Some peoples junk is other peoples treasure
we are talking about how to get the unneeded junk to those in need.Some peoples junk is other peoples treasure
we are talking about how to get the unneeded junk to those in need.
subutuuuu nani aungame?? ameshaungama maamuma naamini atasaidiwa na wanaookota vitu chakavu kwa matumizi anuai.UMENICHEKESHA SANA Msanii!
Ina maana nywele zimepitwa na wakati wakaendelea kuzifuga na kuzificha chini ya wigi au?? hebu fafanua.
hapa haongelewi mtu mwanaume wala mwanamke... cha msingi angalia kama linakugusa uungame usaidiwe.
naona unamtafuta MAXenxe wewe.WOS asante sana. Mada yako inabidi wengine tuichukulie serious mno!!! Again thanks!!! Itabidi wengine tupate muda wa kuanza kupitia warddrobe zetu na vyombo ndani!!!! Maplastic yale tulipewa send off na kitchen party tuanze nayo kwanza maana hayana nafasi kabisa!!! Wife jamani pelekeni kijijini mkienda kuamkua huko (kwa wale ambao wanafanya tour ya walikotoka wao au wazazi wao). Our junks are treasures to others!!! Let us maintain this spirit!!!
WOS asante sana. Mada yako inabidi wengine tuichukulie serious mno!!! Again thanks!!! Itabidi wengine tupate muda wa kuanza kupitia warddrobe zetu na vyombo ndani!!!! Maplastic yale tulipewa send off na kitchen party tuanze nayo kwanza maana hayana nafasi kabisa!!! Wife jamani pelekeni kijijini mkienda kuamkua huko (kwa wale ambao wanafanya tour ya walikotoka wao au wazazi wao). Our junks are treasures to others!!! Let us maintain this spirit!!!
Vitabu ni kitu kingine Msanii.mie nimekusanyakusanya vitabu vya bulicheka ili wajukuu zangu waje kusoma nikiwa sipo tena sidhani kama hapo nitakuwa nimefanya kosa kukumbatia ya kale.
who cares to those junks of yours?.....kama unabisha mpe hata mtoto wa mjukuu wako kijijini nguo zako zilizochoka uone atavyokusemea kwa watu...
simple way ya kudispose hizo junk ni kupiga moto..maana sioni logic ya mie kuvaa nguo ya mtumba kisha ikiwa hainifai nimpe mtu mwingine...
usimtendee mwenzio usichopenda kutendewa weye...na mwenye kanzu mbili na ampatie asiyenayo moja...sio mwenye malapulapu ya nguo, gari, furnitures ndio ampatie asiyekuwa navyo...
hiyo sio kwa maadili ya dini zetu nyingi hasa hizi za wavamizi wa bara letu la africa.
Huo ni mtizamo mmojawapo pia.Asante.
sijui kama ulisoma posts za wengine waliosema kuwa junk kwako yaweza kuwa lulu kwa wengine.
Unaposema kuwa namna ya kudispose ni kupiga moto, unaweza kusemaje kwa watu wanaonunua mitumba hata ya nguo za ndani zilizotoka ulaya?
Ina maana kwa vile mimi ni mwafrika basi sistahili kumpa bure ndugu yangu kitu kizuri ambacho sikitumii???
Jina halitoshi kukuambia unayejaribu kumuelewesha ni mtu wa aina gani? nadhani wengine wamekumbuka jukwaa lao la dini wafanye ligi ya hoja zisizo miguu wala kichwa..achana naye
Some peoples junk is other peoples treasure
Kitu kama hujakitumia kwa mwaka au zaidi je unakihitaji? Mfano mzuri ni makabrasha/makaratasi/documents, magazeti ya zamani.
Una point Mkuu,kuna documents na documents...Hizo ni rejea/references. Tunafisadishwa kwa sababu hatuhifadhi nyaraka/documents. Tujifunze kutunza kumbukumbu/archives.
umenikuna sana hapo,Una point Mkuu,kuna documents na documents...
Lakini je unahitaji kila karatasi? - kuanzia mialiko ya kwenda kwenye tamasha la siku ya ukimwi duniani - 1998, mwaliko wa warsha ya kuandaa sera ya maendeleo ya vijana sijui mwaka 1989,mwaliko wa kitchen party.... magazeti......vipeperushi, writing pads... all that ??
majuzi nilipita home kwa mzee kuwasalimu. nikakuta bado wanatumia antiques i mean nilipoomba maji nilipewa kwenye glasi nilizokua nazo miaka ya sabini themanini. ni ngumu kweli kweli na wana uwezo wa kununua mpya. ila wagumu tu! hapa niulize swali kwamba hivi vyombo vya ndani vinapaswa vitumike kwa muda upi?
umenikuna sana hapo,
leo nikifika home kazi moja tu!
WOS
nadhani hapa hauongelei yale makabati ya vyombo, nguo n.k. ambayo wengi walipewa kama zawadi za harusi miaka ya sabini huko...