Je, watanzania tunataka demokrasia au maendeleo?

Hatuhitaji maendeleo ya "vitu" tu tunahitaji maendeleo ya demokrasia pia yenye kuchochea tija ya ustawi wa jamii iliyo na maadili mema.

Fikiria kwa mfano tunakuwa na hoapitali nyingi nzuri sana lakini hatuna amani ya kutoka majumbani mwetu na kuzifikia hizo hospitali bila kuuwawa/kupotezwa na wasiojulikana

Fikiria kwa mfano tunakuwa na flyovers kila kona ya nchi lakini tunakosa amani ya kuendesha magari yetu katika flyover hizo tukihofia kupotezwa wakati wowote kwasababu tumechangia mada fulani isiyoipendeza serikali.

Unadhani katika hali kama hiyo hivyo vitu vitakua na maana tena katika maisha yetu ya kila siku???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utakuwa musiba umekuja na id nyingine maana haya ni 100% mawazo ya kiccm, demokrasia na maendeleo ni sawa na mche na kinu bila kinu au mche ugali hauliwi siku hiyo
mkuu embu kasome demokrasia ya brunei,saudia ,qatar pamoja na kuwait then angalia jinsi raia wake wanvyoish maisha mazuri ukilinganisha na nchi za kidemokrasia
 
umekuja kwenye pointi libya wamepata demokrasia wanayoitaka je unahisi wanaishi vizuri je kwa nini wanapigana sasa hivi embu tusiwe wajinga wa kushikiwa akili na hao wakoloni wanaotaka kuzivuruga nchi zetu kwa kile wanachoiita demokrasia look at saudia arabia wanavyoish ndo utajua demokrasia ni upupu
Nimeomba nitajiwe nchi tajiri lakini demokrasia yao ni mbovu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu embu kasome demokrasia ya brunei,saudia ,qatar pamoja na kuwait then angalia jinsi raia wake wanvyoish maisha mazuri ukilinganisha na nchi za kidemokrasia
Hizo zote ulizotaja ni nchi zinazoongozwa kidini!! Lakini pia Maisha ya mtu wa State huwezi kuyafananisha na maisha ya mtu wa Saudia ambapo mwanamke tu haruhusiwi kuendesha walau baiskeli. Qatar ni nchi ya maendeleo na demokrasia ikiwepo tofaut na nchi nyingi za kiarabu.

Oman kuna maendeleo ila wananchi wake hawayafurahii ikiwa kukaa tu bar ni lazima uwe na kibali.

Maendeleo na demokrsia ndio njia bora ya kutufikisha kuwa donakantir
 
mkuu embu kasome demokrasia ya brunei,saudia ,qatar pamoja na kuwait then angalia jinsi raia wake wanvyoish maisha mazuri ukilinganisha na nchi za kidemokrasia
Hizo ni nchi za utawala wa kifalme na uislamu watu wanaishi kwa hofu ukifanya fyokofyoko wana kutundu Lissu au wana ku kashoggi haraka sana
 
Watanzania tunataka maendeleo hatuna shida na kitu kinachoitwa demokrasia watanzania tunataka elimu bure,watanzania tunataka kuhudumiwa vizuri tunapokwenda mahospitalini,ofisi za serikali,watanzania tunataka treni mwendokasi,watanzania tunataka barabara nzuri hatutaki uhuru unaoruhusu wanaume kwa wanaume kuoana,hatutaki demokrasia ya kutukana viongozi,hatutaki demokrasia ya kukejeli juhudi za maendeleo hivyo tunashauri vyama vya upinzani waje na hoja ya jinsi gani watatuletea maendeleo na kudumisha mila na utamaduni wetu ambao ndio prestige yatu sio hoja dhaifu ya demokrasia kwani demokrasia ni upuuzi kama hakuna maendeleo
Vyote watu wanataka

Mpaka sasa vyote in zero in jiwe'z vocal
 
Hakuna Msuya Mpuuzi, utakua umeiba Majina yetu wewe!
Watanzania tunataka maendeleo hatuna shida na kitu kinachoitwa demokrasia watanzania tunataka elimu bure,watanzania tunataka kuhudumiwa vizuri tunapokwenda mahospitalini,ofisi za serikali,watanzania tunataka treni mwendokasi,watanzania tunataka barabara nzuri hatutaki uhuru unaoruhusu wanaume kwa wanaume kuoana,hatutaki demokrasia ya kutukana viongozi,hatutaki demokrasia ya kukejeli juhudi za maendeleo hivyo tunashauri vyama vya upinzani waje na hoja ya jinsi gani watatuletea maendeleo na kudumisha mila na utamaduni wetu ambao ndio prestige yatu sio hoja dhaifu ya demokrasia kwani demokrasia ni upuuzi kama hakuna maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo zote ulizotaja ni nchi zinazoongozwa kidini!! Lakini pia Maisha ya mtu wa State huwezi kuyafananisha na maisha ya mtu wa Saudia ambapo mwanamke tu haruhusiwi kuendesha walau baiskeli. Qatar ni nchi ya maendeleo na demokrasia ikiwepo tofaut na nchi nyingi za kiarabu.

Oman kuna maendeleo ila wananchi wake hawayafurahii ikiwa kukaa tu bar ni lazima uwe na kibali.

Maendeleo na demokrsia ndio njia bora ya kutufikisha kuwa donakantir
mkuu kama huna research huna right ya kutalk hivi unahisi kati ya state na saudia au brunei wapi wananchi wake wanaish maisha mazur jiulize why marekani anapata kigugumizi kuiwekea saudia vikwazo
 
Watanzania tunataka maendeleo hatuna shida na kitu kinachoitwa demokrasia watanzania tunataka elimu bure,watanzania tunataka kuhudumiwa vizuri tunapokwenda mahospitalini,ofisi za serikali,watanzania tunataka treni mwendokasi,watanzania tunataka barabara nzuri hatutaki uhuru unaoruhusu wanaume kwa wanaume kuoana,hatutaki demokrasia ya kutukana viongozi,hatutaki demokrasia ya kukejeli juhudi za maendeleo hivyo tunashauri vyama vya upinzani waje na hoja ya jinsi gani watatuletea maendeleo na kudumisha mila na utamaduni wetu ambao ndio prestige yatu sio hoja dhaifu ya demokrasia kwani demokrasia ni upuuzi kama hakuna maendeleo
Labda wewe na bibi yako shamba,usinijumlishe kwenye falsafa zako za kishamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni most democratic country, na hata kwenye rate ya poverty ipo chini sana compared na hizo nchi ulizotaja
IMG-20190219-WA0007.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom