Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,729
- 1,325
Kama hivyo tusissikie watu kupotezwa,mambo ya 1.5, kila kitu kifuate sheria, tuhoji mapato na matumizi bila kubugudhiwa hapo hutasikia keleleumekuja kwenye pointi libya wamepata demokrasia wanayoitaka je unahisi wanaishi vizuri je kwa nini wanapigana sasa hivi embu tusiwe wajinga wa kushikiwa akili na hao wakoloni wanaotaka kuzivuruga nchi zetu kwa kile wanachoiita demokrasia look at saudia arabia wanavyoish ndo utajua demokrasia ni upupu