Naona hujanielewa, nauliza watu wa nchi yake walimwondoa ili wapate Demokrasia, je wameshaipata au bado?Hayo yote yalichangiwa na Gaddafi kung'ang'ania madaraka, matokeo yake yeye kayakosa maendeleo, kaikosa demokrasia na duniani hayupo tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hujanielewa, nauliza watu wa nchi yake walimwondoa ili wapate Demokrasia, je wameshaipata au bado?Hayo yote yalichangiwa na Gaddafi kung'ang'ania madaraka, matokeo yake yeye kayakosa maendeleo, kaikosa demokrasia na duniani hayupo tena!
Libya hawakutaka demokrasia kupitia vita vya Marekani na ulaya walitaka demokrasia kwa njia ya Aman usitake kuleta mifano ambayo haiendani na mazingira ya TanzaniaLibya naona wamerudi nyuma sana ukilinganisha na enzi za Gadafi. Maendeleo hawana wala hiyo Demokrasia waliotaka bado hawajaipata. Its "complete Total Loss in the business they transacted". Walidanganywa.
Naona hujanielewa, nauliza watu wa nchi yake walimwondoa ili wapate Demokrasia, je wameshaipata au bado?
Vipi kuhusu kurudi kwenye chama kimoja ili hii dhana ya kutokutaka demokrasia iwe na maana?Watanzania tunataka maendeleo hatuna shida na kitu kinachoitwa demokrasia watanzania tunataka elimu bure,watanzania tunataka kuhudumiwa vizuri tunapokwenda mahospitalini,ofisi za serikali,watanzania tunataka treni mwendokasi,watanzania tunataka barabara nzuri hatutaki uhuru unaoruhusu wanaume kwa wanaume kuoana,hatutaki demokrasia ya kutukana viongozi,hatutaki demokrasia ya kukejeli juhudi za maendeleo hivyo tunashauri vyama vya upinzani waje na hoja ya jinsi gani watatuletea maendeleo na kudumisha mila na utamaduni wetu ambao ndio prestige yatu sio hoja dhaifu ya demokrasia kwani demokrasia ni upuuzi kama hakuna maendeleo
mkuu kwanza watanzania wengi hatutaki vyama vingiVipi kuhusu kurudi kwenye chama kimoja ili hii dhana ya kutokutaka demokrasia iwe na maana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitusemee sisi ,bali semea wewe na taasisi yako ya ccm na hamko wengi.mkuu kwanza watanzania wengi hatutaki vyama vingi
Kwani Tanzania haina demokrasia?Makaburu wa Afrika ya kusini walijenga miundombinu, walifunga watu jela, waliua watu, waliwanyima watu Uhuru, kama inavyofanya serikali ya Jiwe. Walipingwa na kisha kuondelewa madarakani kwa kunyima haki za watu. Hakuna mbadala wa UHURU.
vyote vina umubimu wakeWatanzania tunataka maendeleo hatuna shida na kitu kinachoitwa demokrasia watanzania tunataka elimu bure,watanzania tunataka kuhudumiwa vizuri tunapokwenda mahospitalini,ofisi za serikali,watanzania tunataka treni mwendokasi,watanzania tunataka barabara nzuri hatutaki uhuru unaoruhusu wanaume kwa wanaume kuoana,hatutaki demokrasia ya kutukana viongozi,hatutaki demokrasia ya kukejeli juhudi za maendeleo hivyo tunashauri vyama vya upinzani waje na hoja ya jinsi gani watatuletea maendeleo na kudumisha mila na utamaduni wetu ambao ndio prestige yatu sio hoja dhaifu ya demokrasia kwani demokrasia ni upuuzi kama hakuna maendeleo.
Asante mkuu kwa kuhoji ! Naomba kukujibu kwa contexty ya ndoa ambayo kwa kila mtu nndoa ni muhimu kuliko nchi(wanasiasa hukimbiza familia kabla ya vita),je uataka mchele na nyama kutoka kwa mpemba au kutosalitiwa hata kama maskini? kwa kuwa elimu kwa kulipia mchepuko wa mke bado ni muhimu kwa watoto ,Je inajustfy kuuchuna kwa hili ?Watanzania tunataka maendeleo hatuna shida na kitu kinachoitwa demokrasia watanzania tunataka elimu bure,watanzania tunataka kuhudumiwa vizuri tunapokwenda mahospitalini,ofisi za serikali,watanzania tunataka treni mwendokasi,watanzania tunataka barabara nzuri hatutaki uhuru unaoruhusu wanaume kwa wanaume kuoana,hatutaki demokrasia ya kutukana viongozi,hatutaki demokrasia ya kukejeli juhudi za maendeleo hivyo tunashauri vyama vya upinzani waje na hoja ya jinsi gani watatuletea maendeleo na kudumisha mila na utamaduni wetu ambao ndio prestige yatu sio hoja dhaifu ya demokrasia kwani demokrasia ni upuuzi kama hakuna maendeleo.
Shikamoo mkuu!Watanzania tunataka maendeleo hatuna shida na kitu kinachoitwa demokrasia watanzania tunataka elimu bure,watanzania tunataka kuhudumiwa vizuri tunapokwenda mahospitalini,ofisi za serikali,watanzania tunataka treni mwendokasi,watanzania tunataka barabara nzuri hatutaki uhuru unaoruhusu wanaume kwa wanaume kuoana,hatutaki demokrasia ya kutukana viongozi,hatutaki demokrasia ya kukejeli juhudi za maendeleo hivyo tunashauri vyama vya upinzani waje na hoja ya jinsi gani watatuletea maendeleo na kudumisha mila na utamaduni wetu ambao ndio prestige yatu sio hoja dhaifu ya demokrasia kwani demokrasia ni upuuzi kama hakuna maendeleo.