Je, Watanzania mmejiandaa vipi kisaikolojia kwa ujio mpya wa Richmond (Dowans)?

Kuweka kumbukumbu sawa tu.
Mradi mzima wa Richmond (Symbion) unahusishwa na JK. Wakina Lowassa na wenzake walikuwa sehemu ya utekelezaji na wanufaika wa pili lakini sio wenye mali.
 
Nchi hii bila kuitoa CCM madarakani hakuna kitu kitafanyika, na kwa hali tuliyofikia tunahitaji kupachimbisha kihamza hamza na sio kwa kupiga kura ili CCM watuachie nchi yetu.

Narudia tena tunawahitaji wakina hamza kadhaa ili tupone.
 
Mkuu safari hii wanachokitafuta watakipata nakwambia, maana watanzania wamechoka sana, mtu aliyechoka tegemea lolote kutoka kwake, waache waendelee kubeep, watapigiwa mda si mrefu trust me watanzania wamechoka sana
 
Nchi hii bila kuitoa CCM madarakani hakuna kitu kitafanyika, na kwa hali tuliyofikia tunahitaji kupachimbisha kihamza hamza na sio kwa kupiga kura ili CCM watuachie nchi yetu.

Narudia tena tunawahitaji wakina hamza kadhaa ili tupone.
Hapana, amani ni tunu adhimu, kikubwa uhai, hivi leo Libya baharini kumekuwa afadhali kuliko ardhini. Mwenye akili hujifunza kwa makosa waliyofanya wenzake. Na kuitupia lawama serikali kwa kila tatizo huko ni kukosa maarifa.
 
Kumbe haya ndo yalitokea? Kumbe ndo maana wameweka kinga ya kikatiba ya kutokushtakiwa hata baada ya kutoka madarakani
Hawa kina lowasa wamewekewa kinga ya kutokushtakiwa lakin ilitakiwa wahukumiwe kunyongwa.

Kwa halii hii na mazingira haya ya katiba kuwawekea kinga ya kutokushtakiwa kwa viongozi wakubwa kiserekali Yani itakua kila mtu anajichotea pesa kujitajirisha maana anajua hmna cha kumfanya, hata hizi tozo zinazo tuumiza sisi wananchi wa kawaida ni lazma zitakuwa zinawanufaisha watu binafsi
 
Hapana, amani ni tunu adhimu, kikubwa uhai, hivi leo Libya baharini kumekuwa afadhali kuliko ardhini. Mwenye akili hujifunza kwa makosa waliyofanya wenzake. Na kuitupia lawama serikali kwa kila tatizo huko ni kukosa maarifa.
Uvumilivu unamwisho, hadi leo Symbion wanatukamua, na wataendelea kuwakamua watoto na wajukuu zetu, sijui hadi lini, enough is enough!!
 
Kumbe haya ndo yalitokea? Kumbe ndo maana wameweka kinga ya kikatiba ya kutokushtakiwa hata baada ya kutoka madarakani
Hawa kina lowasa wamewekewa kinga ya kutokushtakiwa lakin ilitakiwa wahukumiwe kunyongwa.

Kwa halii hii na mazingira haya ya katiba kuwawekea kinga ya kutokushtakiwa kwa viongozi wakubwa kiserekali Yani itakua kila mtu anajichotea pesa kujitajirisha maana anajua hmna cha kumfanya, hata hizi tozo zinazo tuumiza sisi wananchi wa kawaida ni lazma zitakuwa zinawanufaisha watu binafsi
Wasije wakajaribu tena huu mchezo, hatutakubali
 
awamu hii wakikosea tu wakarudia ujinga wa enzi zile,ccm itachukiwa vibaya mno na watz,Tena ccm itakuwa imepanda chuki kubwa Kati ya wananchi na ccm,na Hilo litakuwa pigo takatifu kwa ccm na la mwisho ambalo halitokuja kutokea tena.ngoja tuone!! mama atajutia kumlambalamba huyu tapeli ,aliyepewa wizara nyeti!!
 
Hapana, amani ni tunu adhimu, kikubwa uhai, hivi leo Libya baharini kumekuwa afadhali kuliko ardhini. Mwenye akili hujifunza kwa makosa waliyofanya wenzake. Na kuitupia lawama serikali kwa kila tatizo huko ni kukosa maarifa.
Mkuu,kuhubili amani wakati nchi inaliwa na wachache ni upumbavu,
 
Hapana, amani ni tunu adhimu, kikubwa uhai, hivi leo Libya baharini kumekuwa afadhali kuliko ardhini. Mwenye akili hujifunza kwa makosa waliyofanya wenzake. Na kuitupia lawama serikali kwa kila tatizo huko ni kukosa maarifa.
Mkuu,kuhubili amani wakati nchi inaliwa na wachache ni upumbavu,
 
Usisahau wameshaiba Dola Million 30 hivi sasa na Bwawa la Stiegler limeshafutwa, ile trip ya Misri siajabu walienda kumalizana na Mwarabu na kuuzika mradi rasmi.
 
Hapana, amani ni tunu adhimu, kikubwa uhai, hivi leo Libya baharini kumekuwa afadhali kuliko ardhini. Mwenye akili hujifunza kwa makosa waliyofanya wenzake. Na kuitupia lawama serikali kwa kila tatizo huko ni kukosa maarifa.
Hujui maisha ya mtaani wewe_hao unajaribu kuwatetea ni wahuni wasiopaswa kupuuzwa
 
Back
Top Bottom