Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #101
Nimeirudisha mada hii kwa maana inaendana na majibu ya Mhe. Zitto kuhusu utayari ywa Chadema kupewa nchi na kuiweza kuingoza vizuri. Mhe. Kabwe amesema kuwa Chadema wakipewa nchi sasa hivi wanaweza kuiongoza, lakini kuiongoza vizuri hawataweza!! Hayo yalikuwa ni maoni yangu pia mwanzoni mwa mada hii. Je chama cha CUF kikipewa nchi sasa hivi kitaweza kuiongoza nchi vizuri? Haitoshi tu kutaka CCM itoke madarakani wakati hatuna Chama mbadala ambacho kinaweza kukabidhiwa nchi na sisi tukaendelea kulala usingizi mnono bila ya kushangaa nini kitatokea. Kama Chama chenye uzoefu wa karibu miaka 50 kinaweza kuvurunda kiasi hiki, hivi vyama vya miaka 15 vinataweza kufanya vizuri kweli?