Je, Wanajeshi wa Tanzania Wanakufa kama Nzi huko Congo? Mbona Wananchi hatujulishwi

Je, Wanajeshi wa Tanzania Wanakufa kama Nzi huko Congo? Mbona Wananchi hatujulishwi

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,653
Reaction score
59,077
Salaam Wakuu,

Inadaiwa Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ, wanakufa kama Nzi au Mbu huko Kongo.

Hii habari nimeiona mtandaoni. Je, hizi habari ni za kweli?

Sasa kwanini Wananchi ambao ndo wahusika wa Jeshi hatuambiwi?

Waziri wa Ulinzi yupo kwenye Sherehe za Futari na kufuturu huko Tunguuu Zanzibar..

Je, kuna Familia za Wananjeshi zenye taarifa?

Sisi ambao ndugu zetu wapo huku, hizi habari zinatushotusha na Serikali inaonekana haijali.

Kama wanajeshi wetu hawana mafunzo au zana za kisasa za kivita, kwanini Wasirudi tu? Wanafanya nini huko?
 
Salaam Wakuu,

Inadaiwa Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ, wanakufa kama Nzi au Mbu huko Kongo.

Hii habari nimeiona mtandaoni. Je, hizi habari ni za kweli?

Sasa kwanini Wananchi ambao ndo wahusika wa Jeshi hatuambiwi?

Waziri wa Ulinzi yupo kwenye Sherehe za Futari na kufuturu huko Tunguuu Zanzibar..

Je, kuna Familia za Wananjeshi zenye taarifa?

Sisi ambao ndugu zetu wapo huku, hizi habari zinatushotusha na Serikali inaonekana haijali.

Kama wanajeshi wetu hawana mafunzo au zana za kisasa za kivita, kwanini Wasirudi tu? Wanafanya nini huko?
View attachment 3547971
Huyo demu ni banyamulenge pure. Bahima empire.
 
Taangu lini ukajulishwa vifo vya wanajeshi wao ndo kazi walioichagua na wanafahamu wanafanya kazi frontline kufa kwa mwanajeshi hata frontline ni kawaida kwao ni kazi ambayo waliichagua
SAYNGAY
 
Salaam Wakuu,

Inadaiwa Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ, wanakufa kama Nzi au Mbu huko Kongo.

Hii habari nimeiona mtandaoni. Je, hizi habari ni za kweli?

Sasa kwanini Wananchi ambao ndo wahusika wa Jeshi hatuambiwi?

Waziri wa Ulinzi yupo kwenye Sherehe za Futari na kufuturu huko Tunguuu Zanzibar..

Je, kuna Familia za Wananjeshi zenye taarifa?

Sisi ambao ndugu zetu wapo huku, hizi habari zinatushotusha na Serikali inaonekana haijali.

Kama wanajeshi wetu hawana mafunzo au zana za kisasa za kivita, kwanini Wasirudi tu? Wanafanya nini huko?
View attachment 3547971
Mkuu jina la huyu dem ana link
 
Taangu lini ukajulishwa vifo vya wanajeshi wao ndo kazi walioichagua na wanafahamu wanafanya kazi frontline kufa kwa mwanajeshi hata frontline ni kawaida kwao ni kazi ambayo waliichagua
Umejibu kitaalamu sana.mkuu
 
Taangu lini ukajulishwa vifo vya wanajeshi wao ndo kazi walioichagua na wanafahamu wanafanya kazi frontline kufa kwa mwanajeshi hata frontline ni kawaida kwao ni kazi ambayo waliichagua
Warudi tu kuja kupiga raia wasio na silaha, huko wataisha wote. Ogopa jeshi linalojiona imara kwakuwa linapiga raia wasio na silaha. Tuombe tu isitokee vita, itakuwa aibu ya karne kwa hili jeshi letu.
 
Salaam Wakuu,

Inadaiwa Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ, wanakufa kama Nzi au Mbu huko Kongo.

Hii habari nimeiona mtandaoni. Je, hizi habari ni za kweli?

Sasa kwanini Wananchi ambao ndo wahusika wa Jeshi hatuambiwi?

Waziri wa Ulinzi yupo kwenye Sherehe za Futari na kufuturu huko Tunguuu Zanzibar..

Je, kuna Familia za Wananjeshi zenye taarifa?

Sisi ambao ndugu zetu wapo huku, hizi habari zinatushotusha na Serikali inaonekana haijali.

Kama wanajeshi wetu hawana mafunzo au zana za kisasa za kivita, kwanini Wasirudi tu? Wanafanya nini huko?
View attachment 3547971
We couldn’t care less; they have chosen to become our oppressor’s army. Let the mazafakas perish as fast as they can!
 
Back
Top Bottom