figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,662
- 59,100
- Thread starter
- #41
KabisaTopic ni jamaa analalamika usiri ilhali Waswahili wenzake wanakufa kama nzi, tusihamishe magoli.
KabisaTopic ni jamaa analalamika usiri ilhali Waswahili wenzake wanakufa kama nzi, tusihamishe magoli.
Hao machoko wavaa combats hawana hata uwezo wa kulinda inzi na hata kujilinda wenyewe wanaoshinda, kama wanatekwa na kufirwa na Mafwele wataweza vipi kulinda wananchi.Hawa wanakulinda wewe usiye na shukrani, wakati umelala na demu wako usiku wao wanakesha bunduki mkononi huko mipakani!.
Labda akili za kitoto zinawasumbua hawa watoto wa Gen Z.
Waliposema asitoke mtu tarehe 29 October wewe ulikaa ndani ukaishia kuchungulia nje kwa kusogeza kidogo pazia la hapo sebuleni kwako.Hao machoko wavaa combats hawana hata uwezo wa kulinda inzi na hata kujilinda wenyewe wanaoshinda, kama wanatekwa na kufirwa na Mafwele wataweza vipi kulinda wananchi.
JWTZ wameanza kuwepo mipakani kabla ya tarehe 29 October, labda uwe umezaliwa miaka hii ya 2000 lakini jeshi limekuwepo tangu mwaka 1964 lilipoundwa na operesheni zote limeweza kushiriki.Nimekuuliza Tarehe 29 walikuwa Doria na wananchi wakuwawa majumbuni kwao bila hatia
Kama limeshindwa kuwalinda wananchi wa ndani wakiwa Doria watawezaje adui wa nje
Amiri Jeshi wao alikiri Kuna watu wakitoka Kenya wakaingia nchini kuleta vurugu
Sasa wao kazi Yao Nini mipakani ?
Wajibu wao kwa mujibu wa katiba, lazima wautekeleze.Sasa kama hatuna shukrani wanaendelea kulinda ili iweje?
Wapo kikatiba hawapo kukufurahisha wewe au mimi.Sasa kama hatuna shukrani wanaendelea kulinda ili iweje?
Tangu 1964 nani anailinda hii nchi?. Nani alikwenda Comoro akaikomboa ile nchi?.Hao machoko wavaa combats hawana hata uwezo wa kulinda inzi na hata kujilinda wenyewe wanaoshinda, kama wanatekwa na kufirwa na Mafwele wataweza vipi kulinda wananchi.
Hawa wanakulinda wewe usiye na shukrani, wakati umelala na demu wako usiku wao wanakesha bunduki mkononi huko mipakani!.
Labda akili za kitoto zinawasumbua hawa watoto wa Gen Z.
Hujui usemalo.Wanamlinda mamaduro na waporaji wenzie kina rostum, mkwere na chawa wengine, kengez tunalindwa na mungu tu hata maji tunakunywa majitaka so hamna bunduki inayolinda maskini chawa
Banyamulenge hawafiki hata laki moja lakini wanawagaragaza Wanajeshi wa taifa la milioni 70
Hujui usemalo.
JWTZ wanafanya kazi ya maana sana kwenye ulinzi wa Tanzania, waliweza kuwamaliza magaidi wa MKIRU miaka ile ya 2016 wenye akili timamu tunaelewa wanachokifanya.Unajua nini wewe chawa zaidi ya kuzalisha mbolea tu ukishibishwa makombo na makonda?
JWTZ wanafanya kazi ya maana sana kwenye ulinzi wa Tanzania, waliweza kuwamaliza magaidi wa MKIRU miaka ile ya 2016 wenye akili timamu tunaelewa wanachokifanya.
Bila ya uwepo wao muda mrefu sana nchi hii ingeshavunjika vipande vipande.
Wanailinda nchi kabla wewe hujazaliwa, sisi wenye kuelewa wanachokifanya tutaendelea kuwaheshimu.Hatujakataa wanamlinda mamaduro, rostum na koo kama 100 hivi zinazokula nchi kwani kuna ntu kakubishia chawa?
Na vibali vingi vya madiniHao wanapelekewa moto na technicians kutoka Blackwater, TPDF na Angola. baraka kutoka kwa Marekani.
Nia, mgodi wa Rubaya, kuwasogeza mbali na Burundi.
That's why huwa ninawaambia Mchonga alikufa na jeshi likafa naye, yaani references imekulazimu kutafuta za enzi za Mchonga.Tangu 1964 nani anailinda hii nchi?. Nani alikwenda Comoro akaikomboa ile nchi?.
Nani alimuondosha Idi Amin madarakani mwaka 1978?.
Hizi akili za iphone zisiwadanganye mkadhani mnafahamu kila kitu.
Tatizo wengi wetu humu kwa sababu ya umri tunaanza kufuatilia masuala ya jeshi miaka ya karibuni.Kama why huwa ninawaambia Mchonga alikufa na jeshi likafa naye, yaani references imekulazimu kutafuta za enzi za Mchonga.
So this confirms kwamba hawa wa sasa ni machoko ndiyo maana wakitoka tu kwenda kwenye real battlefield inakuwa ni aibu tupu kwa taifa. Kabla ya hawa tunaohabarishwa kuwa wanauawa kama inzi kulikuwa na wale walitekwa hukohuko Eastern DRC yaani mpaka Colonels wanasechiwa kama vibaka, what a shame.
Tatizo siyo Congo, kwa Tanzania, tatizo ni Burundi.Na vibali vingi vya madini
Vinatoka marekani na UK
Lkn mpk Kinshasa aidhinishe 😄
Watu washafanya yao
Wajeda wetu watoke tu hukko watatumika Chambo
Tu hakuna lolote wakatalo
Pata
Ova
Baada ya kusoma comments zote humu, nimegundua yafuatayo.Tatizo siyo Congo, kwa Tanzania, tatizo ni Burundi.
Na Burundi haina migodi inayovunwa na Wamarekani, ni wachina. Ndiyo maana sasa hivi kuna SGR kwenda Burundi, tayari imeanza. Ile ya kwenda Rwanda bado inasua.
You will be suprised.Baada ya kusoma comments zote humu, nimegundua yafuatayo.
1: Watanganyika hawana tena Ari, uzalendo na hamasa ya kuilinda nchi yao kama miaka ya 1960 hadi 1990.
2: Vita ikitokea sasa hivi kati ya Tanzania na nchi jirani, raia/wananchi wako tayari kuwaunga mkono nchi jirani ikiwa watawahakikishia ulinzi kamili, uhuru, maisha Bora na haki ya kujieleza.
3: Jeshi letu pendwa lililokuwa linashingiliwa na kupewa zawadi enzi za vita ya Uganda miaka ya 1978-1980,, sasa hivi linachukiwa mno kama makaburu wa South Africa enzi hizo waliokuwa wanauwa raia wao.