johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Wamachinga katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam na nchini kwa ujumla wamekuwa wakidemka demka kwa kuamini hawawezi kuguswa kwasababu wao ndio ngome kuu ya ushindi wa chama tawala yaani CCM.
Ndio nauliza, hivi Wamachinga bado ni mtaji wa wanasiasa?
Ndio nauliza, hivi Wamachinga bado ni mtaji wa wanasiasa?