FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,893
- 109,227
Tangu hapo kale Afrika ilikuwa haiitwi Afrika au bara la giza (Dark Continent)
ilikuwa ikiitwa Edeni au Ake-blan
Edeni au Ake-blani maana yake mama wa mwanadamu
Neno Afrika, ni neno la kilatini lenye maana ya mtu aliyeungua.
Si unaona kusomeshwa na kuhitimu ujinga huko.
Hapo mzungu (mlatini) anakutukana na wewe unachekelea kuwa umesoma.
Hebu someni tarikh za akina Ibn Batuta ambae ni msafiri na mvumbuzi wa kutukuka kabla ya hao walatini.
Soma tarikh za Ibn Khaldun uelewe kiini cha tarikh (historia).
Mkiendelea kusoma hizo historia za kujazwa ujinga za wazungu basi hamtatoka utumwani maisha yenu.
Tazameni upande wa pili wa shilingi.