Je, wajua asili ya jina Afrika?

Tangu hapo kale Afrika ilikuwa haiitwi Afrika au bara la giza (Dark Continent)

ilikuwa ikiitwa Edeni au Ake-blan

Edeni au Ake-blani maana yake mama wa mwanadamu

Neno Afrika, ni neno la kilatini lenye maana ya mtu aliyeungua.

Si unaona kusomeshwa na kuhitimu ujinga huko.

Hapo mzungu (mlatini) anakutukana na wewe unachekelea kuwa umesoma.

Hebu someni tarikh za akina Ibn Batuta ambae ni msafiri na mvumbuzi wa kutukuka kabla ya hao walatini.

Soma tarikh za Ibn Khaldun uelewe kiini cha tarikh (historia).

Mkiendelea kusoma hizo historia za kujazwa ujinga za wazungu basi hamtatoka utumwani maisha yenu.

Tazameni upande wa pili wa shilingi.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Teh teh kwa hiyo ni sahihi kabisa tuamini huu uarabu wako kama maana ya Afrika na sio Kilatini ama Kigiriki hapo juu ?
Huwezi kuutenganisha Uarabu Afrika.

Asili na fasili ya Uarabu ni Afrika na Asia Uarabu ulikwenda tu.

Uarabu ni nini?

Neno Arabia maana yake ni (caravan) msafara, Waarabu ni wasafiri na Uarabu ni lugha, misafara ya kibiashara ilikuwa ikijumuisha watu wa kutoka sehemu mbali mbali za hili bara ambalo sasa linajulikana kama Afrika lakini kabla likijulikana kwa vipande vipande na si kikontinenti kama ilivyo sasa. Haya makontinenti kihistoria ni mambo ya hivi karibuni tu.

Maarufu katika hivyo vipande ni Sheba, Habash, Sudan (Kurma, sehemu ya falme za Kush) Nubi/Nuba, Nri, Mali, Ghana, Senar, Saloum, Zimbabwe, Sahel, Magharibi, Barbara, Fulani, Sofala, Zenj, Kilwa, na nyingine nyingi ambazo sikuzitaja kwa sasa.

Misafara (Arabiya) ilipita kote huko na kuungana na msafara mmoja wapo unapofika unapokwenda hubaki na mingine kuunga na kuendelea, hakuna wakati misafara iliisha.

Na lugha kubwa iliyotumika katika hiyo misafara ni Kiarabu, kwa maana lugha ya msafara (Arabiya).

Hapo ndipo unapopata maana ya Uarabu.

Uarabu ni Uafrika to the dot.

Achana na historia za kujazwa ujinga na wazungu. By the way, hayo mataifa na miji niliyokuandikia hapo juu iliteketezwa kwa namna moja au nyingine na wazungu kwa makusudi kabisa.

Utakuta misafara iliyotoka Kaskazini, kwa asilimia nyingi ni jangwa na hakuna mapori au vichaka vya kujificha, na kuingia (au kutoka) Kusini ya Sahara basi iliitwa misafara inayoenda Afrikiya (kuliko jificha) kwa ajili ya mapori manene ambayo ukiingia mita moja tu huonekani. Ndiyo maana na jina Afrika lilipotokea.

Source, mimi mwenyewe.

Majina ya miji na falme niliyoyataja juu hapo, unaweza kuyapata uki Google.

Maana ya neno Ifrit / Afrit unaweza ku Google ukaipata.

Tarikh (historia) ya Afrika ni ndefu na pana kuliko ya kwingineko kokote duniani. Na nnakuhakikishia huwezi kuipata kiukamilifu ukiisoma kutoka kwa wazungu pekee. Kuna mbadala.
 
Oh asante ndugu yangu naona Africa tumeamua kuutafuta ukweli history ya muafrika iliyoandikwa na mzungu au mwarabu ni potofu na porojo iliyomdunisha muafrika kwa muda mrefu na akajiona duni kisha lengo la waandishi likatimia ila the true history of black people inaonesha muafrika alikua ni mtu mahiri mwenye akili nyingi na mwanadamu wa Kwanza kuitawala dunia nzima na kufikia maendeleo ambayo mpaka leo hakuna race yoyote iliyopata kuyafikia.

Nafarijika kuona ukweli unaanza kutafutwa na kupatikana proudly African.

Unanshangaza sana. Kwanza unafurahi kuwa sasa unatafuta historia ya kweli ya Muafrika halafu hapo hapo unaponda Waarabu kwa kuwa tu umejazwa ujinga na hao hao wazungu kuwa Waarabu Afrika ni "wakuja", fikiri.

Soma post namba 41 na 42 ujuwe Waarabu ni nani na Uarabu ni nini.
 
Amini Amini nakuambia ndugu yangu ni kweli na huu ukweli mzungu na muarabu ameuficha kwa muda mrefu sana lakini ukweli unajulikana, zipo makala nyingi zinazoelezea ukweli huu zimejaa mitandaoni jaribu kutafuta "the black pharaohs" ni documentary iliyofanywa na BBC itakupa mwanga.

Tutakiane heri mada Hakika nitaileta humu.

Hata hao wana Wa Israel,inasemekàna walikua wamechanganyika rangi .
Israelites walikua na makabila 12 ,moja kati ya makabila Yao NI watu weusi Ambao pia ndio waliokua wakitumika huko Egypt as slaves ,na ndio miongoni mwa watu waliookolewa na musa.but wazungu wameblock akil zetu kila prophet wao wana imagine kua walikua whites ,shida waafrica hawana taratibu za self improvement na kujisomea .ukiwakuta njian wapo busy but hujui wapo busy na nini
,wanajaza vitambi tu .
 
Shime tuifuatilie history yetu ya kweli. IPO.
Hata hao wana Wa Israel,inasemekàna walikua wamechanganyika rangi .
Israelites walikua na makabila 12 ,moja kati ya makabila Yao NI watu weusi Ambao pia ndio waliokua wakitumika huko Egypt as slaves ,na ndio miongoni mwa watu waliookolewa na musa.but wazungu wameblock akil zetu kila prophet wao wana imagine kua walikua whites ,shida waafrica hawana taratibu za self improvement na kujisomea .ukiwakuta njian wapo busy but hujui wapo busy na nini
,wanajaza vitambi tu .
 
unaona usivoifahamu historia...huwa unasima nini wewe?,watu wa asili wa Egypt ni akina nani?,tangu lini hao ndugu zako wakawa na akili ? soma hapa
The Black Egyptians are the original settlers of Kemet
The Black Egyptians--Original Settlers of Kemet







The Black Egyptians are the original settlers of Kmt. "The native Sudanese are one of the original pigmented Arabs in that region. They are members of the same ethnic family with the ancient Egyptians, the Ethiopians, the Southern Arabians, and the primitive inhabitants of Babylon. They are all founders and sustainers of the mighty Nilotic civilization we still admire today. They are very great nation of Blacks, who did rule almost over all Africa and Asia in a very remote era, in fact beyond the reach of history of any of our records.


Egypt is a Greek word meaning “Black.”

bullet.gif
The Egyptians of the Bible were Negroid.
bullet.gif
The Bible says both Egyptians and Ethiopians are descendants of Ham.
bullet.gif
Arabs invaded Egypt in the 7th Century AD; Remember, Egypt wasn't invaded by Rome until 300 BC. The Bible dates 4000 BC.
bullet.gif
Therefore, Arabs have no more connection to Ancient Egypt than Europeans have to Ancient America.
bullet.gif
Egyptian is an Afro-Asiatic language. (AFRO, AFRO)
bullet.gif
The national language of modern day Egypt is Egyptian Arabic, which gradually replaced Coptic. (Coptic--Ethiopia)
bullet.gif

Black Egyptians were eventually mixed with invading Libyans, Persians, Greeks, Romans, Turks, Arabs and Western Europeans. That is where the mixed people of the modern-day Arabs come from.
NAFURAHI KUONA WAAFRIKA MNAANZA KUFAHAMU HISTORIA YENU....HAKIKA YESU ANAKARIBIA KURUDI..acha nitonyau ajifariji kujiita muisraeli wakati waisraeli hawakuwa weupe kamwe ....tumeibiwa historia yetu na hawa majambazi ....Marekani weusi wamesha hamka moto unawaka huko....
 
Si unaona kusomeshwa na kuhitimu ujinga huko.

Hapo mzungu (mlatini) anakutukana na wewe unachekelea kuwa umesoma.

Hebu someni tarikh za akina Ibn Batuta ambae ni msafiri na mvumbuzi wa kutukuka kabla ya hao walatini.

Soma tarikh za Ibn Khaldun uelewe kiini cha tarikh (historia).

Mkiendelea kusoma hizo historia za kujazwa ujinga za wazungu basi hamtatoka utumwani maisha yenu.

Tazameni upande wa pili wa shilingi.
wewe ni mtumwa wa waarabu, unawahusudu waarabu wakati waarabu hao ndio waliokuwa vinara wa biashara ya utumwa waliwauza babu zetu, wakawaingilia kinyume na maumbile, wakawachinja wote ndio maana hakuna masalia kule

achana na ujinga wa utapeli wa kidini
 
Teh teh kwa hiyo ni sahihi kabisa tuamini huu uarabu wako kama maana ya Afrika na sio Kilatini ama Kigiriki hapo juu ?

Mkuu kwani unashangaa nini - mbona Dunia nzima inatumua namba zilizo buniwa na Waarabu, Waarabu walikuwa mbali sana katika masuala ya hesabu na sayansi including uvumbuzi wa acids na bases (Alkali ni neno la Kiaarabu), karatasi, wino na kuchapisha vitabu - kama sikosei hata Chuo Kikuu cha kwanza Dunia kilianzishwa ba Waarabu, hapo Faiza anaweza kusaidia kufafanua zaidi.

Tatizo vitabu vingi vimeandikwa na nchi za magharibi kujisifu sifu kwingi na kusema uongo eti wazungu ndiyo walivumbua Bara la Africa ulaghai mtupu, hawataki kukubali kwamba Waarabu na Wachina walikuwa mbali kwa kila kitu, kundi hilo ndilo walikuwa wanatembelea Bara ka Afrika karne na karne kabla ya wazungu hata ramani ya mashariki mwa Bara la Africa walikuwa nayo, infact Wachina waliwahi kusafiri mpaka bara la Amerika kabla ya wazungu.
 
Wewe kweli punguani kajisome ulivyonasibisha weusi na Uarabu na UEgption.

Ni nani alikudanganya Uarabu ni rangi?

Unaandika upuuzi ambao unakuja kuutetea kijinga.

Hiyo Egypt na Europe na in short Dunia nzima watu wote asili yao ni Afrika. Na sayansi inayakinisha hayo zaidi ya hiyo historia yako ya kujazwa ujinga uliyoikopi na kuipesti.

Afrika inatokana na neno Ifrit pronounced Afrit. Siyo ile ya kubuni uliyoileta wewe. Kama ulisomeshwa hivyo basi juwa kuwa umesomeshwa ujinga.
una matatizo wewe....itakuwa ulikataliwa siku ya harusi
 
Sio kipare kweli hicho! Afika, Afrika...manake amefika aendako! Its make sense
hahaaaaa Kumbe na mpare nae aliefukuzwa milimani na wachaga huku MCHAGA akisema MPAREE maana yake PIGA, nae alishiki kutunga neno AFRICA
 
Huwezi kuutenganisha Uarabu Afrika.

Asili na fasili ya Uarabu ni Afrika na Asia Uarabu ulikwenda tu.

Uarabu ni nini?

Neno Arabia maana yake ni (caravan) msafara, Waarabu ni wasafiri na Uarabu ni lugha, misafara ya kibiashara ilikuwa ikijumuisha watu wa kutoka sehemu mbali mbali za hili bara ambalo sasa linajulikana kama Afrika lakini kabla likijulikana kwa vipande vipande na si kikontinenti kama ilivyo sasa. Haya makontinenti kihistoria ni mambo ya hivi karibuni tu.

Maarufu katika hivyo vipande ni Sheba, Habash, Sudan (Kurma, sehemu ya falme za Kush) Nubi/Nuba, Nri, Mali, Ghana, Senar, Saloum, Zimbabwe, Sahel, Magharibi, Barbara, Fulani, Sofala, Zenj, Kilwa, na nyingine nyingi ambazo sikuzitaja kwa sasa.

Misafara (Arabiya) ilipita kote huko na kuungana na msafara mmoja wapo unapofika unapokwenda hubaki na mingine kuunga na kuendelea, hakuna wakati misafara iliisha.

Na lugha kubwa iliyotumika katika hiyo misafara ni Kiarabu, kwa maana lugha ya msafara (Arabiya).

Hapo ndipo unapopata maana ya Uarabu.

Uarabu ni Uafrika to the dot.

Achana na historia za kujazwa ujinga na wazungu. By the way, hayo mataifa na miji niliyokuandikia hapo juu iliteketezwa kwa namna moja au nyingine na wazungu kwa makusudi kabisa.

Utakuta misafara iliyotoka Kaskazini, kwa asilimia nyingi ni jangwa na hakuna mapori au vichaka vya kujificha, na kuingia (au kutoka) Kusini ya Sahara basi iliitwa misafara inayoenda Afrikiya (kuliko jificha) kwa ajili ya mapori manene ambayo ukiingia mita moja tu huonekani. Ndiyo maana na jina Afrika lilipotokea.

Source, mimi mwenyewe.

Majina ya miji na falme niliyoyataja juu hapo, unaweza kuyapata uki Google.

Maana ya neno Ifrit / Afrit unaweza ku Google ukaipata.

Tarikh (historia) ya Afrika ni ndefu na pana kuliko ya kwingineko kokote duniani. Na nnakuhakikishia huwezi kuipata kiukamilifu ukiisoma kutoka kwa wazungu pekee. Kuna mbadala.
Asante sana umesaidia kutuelimisha kwa andiko lako
 
''MJEREMANI'' tunamuacha wapi kwenye historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla, kwann yy halaumiwi kama mmarekani na Mwarabu.
naomba juzwa.......
 
Back
Top Bottom