ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,133
- 2,117
mie mpemba mambo ya Africa hayanihusu ngoja nikae kimyq
Hao waarabu wakatoka wapi sasa?
Asante mkuu umenipa starting point! AsanteHistory inaonesha Libya, Tunisia, Egypt, Algeria au nchi zote Africa zinazokaliwa na waarabu awali walikuepo weusi ila baada ya the conquest of North Africa na Invasion of Islam in Africa watu weusi waliuwawa kwenye hayo maeneo na kutwaliwa kimabavu na Muarabu.
History Ambayo mzungu wala muarabu hatakupa sababu lengo lao ni kumdunisha muafrika na ajione inferior mbele yao.
Tafuta ukweli.
Hapa kuna ukweli hawa watu weupe washenzi sana. Heko comred MugabeHistory inaonesha Libya, Tunisia, Egypt, Algeria au nchi zote Africa zinazokaliwa na waarabu awali walikuepo weusi ila baada ya the conquest of North Africa na Invasion of Islam in Africa watu weusi waliuwawa kwenye hayo maeneo na kutwaliwa kimabavu na Muarabu.
History Ambayo mzungu wala muarabu hatakupa sababu lengo lao ni kumdunisha muafrika na ajione inferior mbele yao.
Tafuta ukweli.
Story za vijiwe vya urojo peleka zenjiPorojo ndeeeeeefu.
Afrika ni neno la Kiarabu linalotokana na neno "Afrit" kwa maana the hideous, iliyofichika.
Sio kipare kweli hicho! Afika, Afrika...manake amefika aendako! Its make senseafrika ni kisambaa Afiika
Tafadhwali ustaaadhi tia neno shekh! Hahahaamie mpemba mambo ya Africa hayanihusu ngoja nikae kimyq
Porojo ndeeeeeefu.
Afrika ni neno la Kiarabu linalotokana na neno "Afrit" kwa maana the hideous, iliyofichika.
Umeeelezea vizuri sanaunaona usivoifahamu historia...huwa unasima nini wewe?,watu wa asili wa Egypt ni akina nani?,tangu lini hao ndugu zako wakawa na akili ? soma hapa
The Black Egyptians are the original settlers of Kemet
The Black Egyptians--Original Settlers of Kemet
The Black Egyptians are the original settlers of Kmt. "The native Sudanese are one of the original pigmented Arabs in that region. They are members of the same ethnic family with the ancient Egyptians, the Ethiopians, the Southern Arabians, and the primitive inhabitants of Babylon. They are all founders and sustainers of the mighty Nilotic civilization we still admire today. They are very great nation of Blacks, who did rule almost over all Africa and Asia in a very remote era, in fact beyond the reach of history of any of our records.
Egypt is a Greek word meaning “Black.”
The Egyptians of the Bible were Negroid.![]()
The Bible says both Egyptians and Ethiopians are descendants of Ham.![]()
Arabs invaded Egypt in the 7th Century AD; Remember, Egypt wasn't invaded by Rome until 300 BC. The Bible dates 4000 BC.![]()
Therefore, Arabs have no more connection to Ancient Egypt than Europeans have to Ancient America.![]()
Egyptian is an Afro-Asiatic language. (AFRO, AFRO)![]()
The national language of modern day Egypt is Egyptian Arabic, which gradually replaced Coptic. (Coptic--Ethiopia)![]()
![]()
Black Egyptians were eventually mixed with invading Libyans, Persians, Greeks, Romans, Turks, Arabs and Western Europeans. That is where the mixed people of the modern-day Arabs come from.
Pamoja mkuuOh asante ndugu yangu naona Africa tumeamua kuutafuta ukweli history ya muafrika iliyoandikwa na mzungu au mwarabu ni potofu na porojo iliyomdunisha muafrika kwa muda mrefu na akajiona duni kisha lengo la waandishi likatimia ila the true history of black people inaonesha muafrika alikua ni mtu mahiri mwenye akili nyingi na mwanadamu wa Kwanza kuitawala dunia nzima na kufikia maendeleo ambayo mpaka leo hakuna race yoyote iliyopata kuyafikia.
Nafarijika kuona ukweli unaanza kutafutwa na kupatikana proudly African.
Pamoja sana mkuuUmeeelezea vizuri sana
Bora umwambie sijui kagoogle wapi huo ujinga alioandika na kumuambia mwenzeka eti porojo ndefu wakati mi naona huyo jamaa kaulizaThe Name Africa is of African Origins from the Egyptian Word "Afru-ika" or 'Motherland."
punguza uongo
huyu FaizaFoxy anatulisha matango pori sanaBora umwambie sijui kagoogle wapi huo ujinga alioandika na kumuambia mwenzeka eti porojo ndefu wakati mi naona huyo jamaa kauliza
atakulisha wewe humu kakutana na majiniazi,huyu FaizaFoxy anatulisha matango pori sana
unaona usivoifahamu historia...huwa unasima nini wewe?,watu wa asili wa Egypt ni akina nani?,tangu lini hao ndugu zako wakawa na akili ? soma hapa
The Black Egyptians are the original settlers of Kemet
The Black Egyptians--Original Settlers of Kemet
The Black Egyptians are the original settlers of Kmt. "The native Sudanese are one of the original pigmented Arabs in that region. They are members of the same ethnic family with the ancient Egyptians, the Ethiopians, the Southern Arabians, and the primitive inhabitants of Babylon. They are all founders and sustainers of the mighty Nilotic civilization we still admire today. They are very great nation of Blacks, who did rule almost over all Africa and Asia in a very remote era, in fact beyond the reach of history of any of our records.
Egypt is a Greek word meaning “Black.”
The Egyptians of the Bible were Negroid.![]()
The Bible says both Egyptians and Ethiopians are descendants of Ham.![]()
Arabs invaded Egypt in the 7th Century AD; Remember, Egypt wasn't invaded by Rome until 300 BC. The Bible dates 4000 BC.![]()
Therefore, Arabs have no more connection to Ancient Egypt than Europeans have to Ancient America.![]()
Egyptian is an Afro-Asiatic language. (AFRO, AFRO)![]()
The national language of modern day Egypt is Egyptian Arabic, which gradually replaced Coptic. (Coptic--Ethiopia)![]()
![]()
Black Egyptians were eventually mixed with invading Libyans, Persians, Greeks, Romans, Turks, Arabs and Western Europeans. That is where the mixed people of the modern-day Arabs come from.
Bora umwambie sijui kagoogle wapi huo ujinga alioandika na kumuambia mwenzeka eti porojo ndefu wakati mi naona huyo jamaa kauliza
Hizi theories za neno Africa ni nyingi sio kama yeye alivyojiaminisha kwa huo upuuzi wa kuona ye ndio much know sio vizuri hivyo, tunasikiliza mawazo yote tunakusanya data.
Faiza fox, kichwa maji yeye amakariri kuruani, anataka ajiingize kwenye mambo ya kitaaluma duuuuuu
Km anawapenda waislam akaolewe na boko haram