Je wafanyakazi wenzako wanakutembelea nyumbani?

Nimegundua wafanyakazi wengi wa Dsm na miji mingine mikubwa hawana utamaduni wa kupelekana majumbani.
Vikao mara nyingi huishia kwenye nyamachoma.
Je kwanini hali hii?
Mimi hapa ofisini kwangu nimejaribu sana kuwakaribisha wenzangu nyumbani kwangu, lakini wamegoma katakata kunitembea.

Mi wala sipendi waje kwangu, watanivurugia uhusiano na mke wangu mpya! Wasubiti tukizeeka nitawakaribisha.
 
,,,ngoja nikuchekeshe,kuna jamaa alienda nyumbani kwa boss wake,na huyo boss ni mnene vibaya mno,kufika msalani wakakuta kamba....guess ilikuwa ni ya nini.........mzee akikata gogo hawezi kunyanyuka,mpaka aji-support na kamba...hiyo stori imesambaa ofisini kwao mpaka ikanikuta mimi...full vituko,usiwaalike.
hahahahahahaha!!!!! hiyo ni noumer.
 
huyo bosi hajisaidii ofisini? maana chooni kunaonyesha hamna kambaza kusapoti au haja ikimbana anarudi home?
ongeza chenga tu,wakija wengine ni umbea tupu...ooh,mshahara wote ananunulia simu,kumbe kapanga,,,,ngoja nikuchekeshe,kuna jamaa alienda nyumbani kwa boss wake,na huyo boss ni mnene vibaya mno,kufika msalani wakakuta kamba....guess ilikuwa ni ya nini.........mzee akikata gogo hawezi kunyanyuka,mpaka aji-support na kamba...hiyo stori imesambaa ofisini kwao mpaka ikanikuta mimi...full vituko,usiwaalike.
 
Mie kwa usanii hawaniwezi

Usanii wao unapoishia, mie ndo wangu umeanzia hapo

Never! Na mie najua ni hivyo tu

ongeza chenga tu,wakija wengine ni umbea tupu...ooh,mshahara wote ananunulia simu,kumbe kapanga,,,,ngoja nikuchekeshe,kuna jamaa alienda nyumbani kwa boss wake,na huyo boss ni mnene vibaya mno,kufika msalani wakakuta kamba....guess ilikuwa ni ya nini.........mzee akikata gogo hawezi kunyanyuka,mpaka aji-support na kamba...hiyo stori imesambaa ofisini kwao mpaka ikanikuta mimi...full vituko,usiwaalike.
 
Afu hapo hapo

Watu wanaanza investigation, ni noumer watu kuja kwako aisee

hahaha, umenikumbusha munene mmoja wa msd alikuwa anatuambia kuna jamaa ofisini kwao kafiwa na mtoto. siku wanaenda msibani wakadhani wamepotea. accounts clerk ana jumba la maana kuliko la mkurugenzi:majani7:
 
Binafsi siamini kama kuna urafiki wa kweli makazini,na rafiki tu ndo unaweza kumpeleka nyumbani kwako.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Sasa bujibiji ndugu yangu hivo vichochoro vya kwako wataviweza kama we mwenyewe unapote nyumba ukirudi usiku.Usiwaletee matatizo wenzio kuwa na utu sometimes
 
wengine wanaogopa coz unaweza kukuta anafanya kazi nzuri but maendeleo hakuna unategemea nn hapo.
 
Tunakuwa busy sana kwa cku 5 za juma, week end inapendeza kila mtu akae majumbani mwao wapumzike. kuna special cases kama mtu mgonjwa unaenda kumjulia hali. But kwenda kumtembelea tu, ilhali mtakutana ena j3 ofisini nini kitakuwa kipya kwenu?
 
Hicho ndio wanachoogopa
Nimegundua wafanyakazi wengi wa Dsm na miji mingine mikubwa hawana utamaduni wa kupelekana majumbani.
Vikao mara nyingi huishia kwenye nyamachoma.
Je kwanini hali hii?
Mimi hapa ofisini kwangu nimejaribu sana kuwakaribisha wenzangu nyumbani kwangu, lakini wamegoma katakata kunitembea.
 
BUJIBUJI umenikuna haswaaa! Asante sana kwa uzi huu, yaani hamuwezi amini kuna mfanyakaz mwenzetu mmoja yaani yeye hataki watu wajue kwake, akipata matatizo mf: msiba wa karibu, au anaumwa, yaani kama ni msiba wa kusafirisha, akirud tu kesho yake yupo kazini, ukimwambia tunakuja kukupa pole utasikia Nipeni hapahapa tu. Hakuna hata mfanyakaz m1 anajua kwake, 2naishia kujua anaish Mbez Makonde. Akiumwa sasa, "tunakuja kukuona" utasikia nipo hsp ntatoka sa10 kesho yake huyo kazini. Unaendeleaje? Ah! Mi nshapona. Wakat unaona bado kalegea. Last week J2 kapata msiba wa kaka yake hukooo upareni, kaenda kuzika, karudi Alhamis last wk, Ijumaa huyu kazini!! Mmh! Juzi j5 2kamwambia 2nakuja ijumaa kukupa pole ya msiba kaitikia sawa karibuni, jana kaja kazini kawaida, leo sasa! He he! He! Anapigiwa simu atuelekeze kwake watu ndo 2shapewa ruhusa na Boss tukampe pole mwenzetu, kwani anapokea? Badae anatuma msg Nipo hsp Muimbili nimemleta mtoto ntarud sa 10! Yametushukaje?? Na Vizigo vyetu! Si mnajua tena mambo ya Vikanga na Visukari? Yaani watu wazima na akili zetu 2kaachwa Solemba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom