Nimenunua TV mpya aina ya Bongo Star search, nataka waje waione
wengine wanaenda kugoogle bei za magaei waliyokuta yamepark hapo nje. Mara auditors, ukikaa sawa unahamishiwa tandahimba ukaanzishe kitengo. Kila mtu akae kwake, ajiju. Na vikao vya msiba siku hizi vinafanyikia break point, kuaga maiti kanisani ama hospitali. Bhaaaassss!Afu hapo hapo
Watu wanaanza investigation, ni noumer watu kuja kwako aisee
Kwetu hata upate msiba haji mtu
huyo ameshawapa msg kuwa hataki mtu nyumbani kwake,ila bado mnamng'ang'ania.kuna wengine wakienda kwa watu huchunguza mengi hasa wanawake,wanachokiona wanaenda kuhadithia.au kuna wengine huwa uongo mwingi.ukienda kwao ni tofauti kwa wanayoyaelezea.kuna dada mmoja alikuwa na tabia ya kujisifia kuwa kanunua hiki na kile.na alikuwa na tabia ya kusema nyumba za watu.siku akafiwa,duu,watu walioenda kwao,walishangaa,yote aliyokuwa anasema kanunua ni uongo mtupu.BUJIBUJI umenikuna haswaaa! Asante sana kwa uzi huu, yaani hamuwezi amini kuna mfanyakaz mwenzetu mmoja yaani yeye hataki watu wajue kwake, akipata matatizo mf: msiba wa karibu, au anaumwa, yaani kama ni msiba wa kusafirisha, akirud tu kesho yake yupo kazini, ukimwambia tunakuja kukupa pole utasikia Nipeni hapahapa tu. Hakuna hata mfanyakaz m1 anajua kwake, 2naishia kujua anaish Mbez Makonde. Akiumwa sasa, "tunakuja kukuona" utasikia nipo hsp ntatoka sa10 kesho yake huyo kazini. Unaendeleaje? Ah! Mi nshapona. Wakat unaona bado kalegea. Last week J2 kapata msiba wa kaka yake hukooo upareni, kaenda kuzika, karudi Alhamis last wk, Ijumaa huyu kazini!! Mmh! Juzi j5 2kamwambia 2nakuja ijumaa kukupa pole ya msiba kaitikia sawa karibuni, jana kaja kazini kawaida, leo sasa! He he! He! Anapigiwa simu atuelekeze kwake watu ndo 2shapewa ruhusa na Boss tukampe pole mwenzetu, kwani anapokea? Badae anatuma msg Nipo hsp Muimbili nimemleta mtoto ntarud sa 10! Yametushukaje?? Na Vizigo vyetu! Si mnajua tena mambo ya Vikanga na Visukari? Yaani watu wazima na akili zetu 2kaachwa Solemba!
Ni vizuri kualikana nyumbani; inaleta umoja na sense ya trust pia. Chakula cha jioni mara moja kwa mwezi sio mbaya hata kama kila mtu aje na drink yake!
Namiss sana good old days tulipokuwa porini no TV no Simu; you only have yourselves to entertain each other. Lkn siku hizi ni marafiki wa mtandaoni ndio wamereplace real companies!
huyo ameshawapa msg kuwa hataki mtu nyumbani kwake,ila bado mnamng'ang'ania.kuna wengine wakienda kwa watu huchunguza mengi hasa wanawake,wanachokiona wanaenda kuhadithia.au kuna wengine huwa uongo mwingi.ukienda kwao ni tofauti kwa wanayoyaelezea.kuna dada mmoja alikuwa na tabia ya kujisifia kuwa kanunua hiki na kile.na alikuwa na tabia ya kusema nyumba za watu.siku akafiwa,duu,watu walioenda kwao,walishangaa,yote aliyokuwa anasema kanunua ni uongo mtupu.
FID Q ALIKUWA ANAMUIMBA ADILI CHAPA KAZI BAADA YA KUFULIA.sihitaji.... marafiki oooh no no no- Fid Q
Nimegundua wafanyakazi wengi wa Dsm na miji mingine mikubwa hawana utamaduni wa kupelekana majumbani.
Vikao mara nyingi huishia kwenye nyamachoma.
Je kwanini hali hii?
Mimi hapa ofisini kwangu nimejaribu sana kuwakaribisha wenzangu nyumbani kwangu, lakini wamegoma katakata kunitembea.