yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,379
Habarini wadau,
Swala la kupima limekuwa swala gumu sana mana vijana wanauza mechi, au kuteleza sana pasipo sababu za msingi pia kujisahau
sasa ukiambiwa upime na majibu mpewe kwa pamoja vipi wadau?
Wa kimasihara na wanunua dada poa na wale wa massage wakushusha mlima vipi mnasalimika? Au tuungane na chaputa kwa usalama wa afyaaa.
Swala la kupima limekuwa swala gumu sana mana vijana wanauza mechi, au kuteleza sana pasipo sababu za msingi pia kujisahau
sasa ukiambiwa upime na majibu mpewe kwa pamoja vipi wadau?
Wa kimasihara na wanunua dada poa na wale wa massage wakushusha mlima vipi mnasalimika? Au tuungane na chaputa kwa usalama wa afyaaa.