Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 373,352
- 865,001
- Thread starter
- #41
Aisee uko vizuri sana kiroho.. Yani iko so automatic.. Sio tatizo bali unapaswa kumshukuru Mungu kwa hilo.. By the way jaribu tiba ya chumvi.. Ndoto nyingi mbaya zinatoka na hata wadeni watukutu wanaweza kuanza kukulipa.. Jaribu utaonadah!!Sawa ngoja nimwachie mungu tu.
Na je! Mtu akiota anasali na kukemea mapepo hua inamaanisha nini?(hii nayo inanijia mara nyingi sana tokea january ya mwaka huu)yaan hata kama nimchana tu usingzi unipitie,inakuja hii ndoto.