Je, unaziona ndoto zako rohoni?

Je, unaziona ndoto zako rohoni?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,732
Reaction score
861,078
Utimilifu wa ndoto katika maisha ya mafanikio huanzia rohoni na si mafanikio tuu bali kila jambo katika maisha bila kujali uzuri ama ubaya wake! Kwakuwa roho ndio asili na ndio chanzo cha kila kitu katika ulimwengu wa mwili?

Je unaziishi ndoto zako? Ama bado hazijatimia? Je unaziona ndoto zako katika uhalisia wake! Ni kama vile upandavyo mazao kondeni.. Unajiona tangu maandalizi ya shamba, kupanda palizi kukomaa na hatimaye mavuno! Utimilifu wa ndoto..! Je unaiona hii picha kwa vipande? Hatua kwa hatua?

Hapa tofautisha ndoto hizi za rohoni na ndoto zile za kichwani. Ndoto za Alinacha. Ndoto za kuota una pesa mingi bila mipango, unaendesha ndinga kali unachukua bebes za viwango, kasri lenye kila aina ya starehe nknk.. Sio ndoto hizi ambazo waotaji wake hawawazi mwanzo wa kufikia kupata bali wanawaza mwisho wa matokeo ya kupata na kutumia..ndio maana ziko kichwani juu na sio rohoni ndani!

Unataka kuwa nani maishani.. Unataka kufanya nini maishani. Hiyo roadmap utaiona rohoni mwako kila uendapo, kila ufanyalo na hata katika usingizi na uchovu mwingi utajiona wewe katika uhalisia wako ndani ya hizo ndoto zako

Haijalishi utachelewa muda gani kuzifikia Kila mmoja wetu ana muda wake wa kupata. Wengine wanachelewa na wengine wanawahi. Sometimes ni heri kuchelewa lakini ufike milele kuliko uwahi kisha ufeli kabla kesho haijapambazuka. Kuchelewa kupata utakacho ni maono pia.

Usiishi kwa kihoro cha kuchelewa kutimiza ndoto. Usibabaike na waliokutangulia.. Jenga msingi wako rohoni ukitumainia yajayo. Lakini usibweteke ila usitumie mkato pia. Usiyalazimishe mafanikio yako kupitia njia zisizo sahihi. Usitumie kafara na nguvu za giza. Utapata kwa wakati huo. Lakini itakapofika kupata kwa halali. Haramu itakuwa imeshanajisi njia yako na anguko lako litaanzia hapo.

Maisha sio leo maisha ni kesho na kesho ni kubwa kuliko Jana, kuliko juzi, kesho ni kaka mkubwa wa leo. Usibweteke ila ziishi ndoto zako katika njia sahihi. Hata kama hujapata na hata kama muda haujatimia lakini ishi kwenye maandalizi ya KUWA utakaye kuwa!
Dressing code yako
Matendo yako
Mienendo yako
Maono yake vyote viashirie utakayekuwa baadae. Haijilishi ndoto zako ni kuwa
Mama wa nyumbani anza sasa
Msanii mkubwa anza sasa
Kiongozi mkubwa anza sasa
Mfanyabiashara mwenye mafanikio anza sasa
Mtu maarufu anza sasa
Paroko, Sheikh, mchungaji anza sasa
Mtunzi maarufu anza sasa
Mwanasayansi na jasusi anza sasa!

Kuna baadhi ya ndoto za rohoni hujidhihiri kwa watoto wadogo tangu mwanzo.. Maana matendo na mienendo yake huchora ramani inayoonekana!

Kumbuka hakuna ndoto za rohoni zinazojifunua uwe
Tena
Malaya
Jambazi
Mdangaji
Tapeli
Mwizi
Muongo nknk
Hayo ni matendo ya giza baada ya ndoto kufa kwa sababu zozote zile!

Kama kila ukijiangalia mawazoni kuna mahali unatamani kuwa lakini rohoni unaona kiza..achana na hizo fikra.. Hutafika popote..

Nawatakia Jumamosi njema ya Pasaka
Jr[emoji769]
16.04.2022
 
Mshana nikwambie Jambo.
Hivi unatambua katika Maisha ya Ukristo maisha huwa vip..
Niya(malengo) yako ufa, na unabeba nia(malengo) ya kristo.
 
Utimilifu wa ndoto katika maisha ya mafanikio huanzia rohoni na si mafanikio tuu bali kila jambo katika maisha bila kujali uzuri ama ubaya wake! Kwakuwa roho ndio asili na ndio chanzo cha kila kitu katika ulimwengu wa mwili?

Je unaziishi ndoto zako? Ama bado hazijatimia? Je unaziona ndoto zako katika uhalisia wake! Ni kama vile upandavyo mazao kondeni.. Unajiona tangu maandalizi ya shamba, kupanda palizi kukomaa na hatimaye mavuno! Utimilifu wa ndoto..! Je unaiona hii picha kwa vipande? Hatua kwa hatua?

Hapa tofautisha ndoto hizi za rohoni na ndoto zile za kichwani.. Ndoto za Alinacha.. Ndoto za kuota una pesa mingi bila mipango, unaendesha ndinga kali unachukua bebes za viwango, kasri lenye kila aina ya starehe nknk.. Sio ndoto hizi ambazo waotaji wake hawawazi mwanzo wa kufikia kupata bali wanawaza mwisho wa matokeo ya kupata na kutumia..ndio maana ziko kichwani juu na sio rohoni ndani..!

Unataka kuwa nani maishani.. Unataka kufanya nini maishani.. Hiyo roadmap utaiona rohoni mwako kila uendapo, kila ufanyalo na hata katika usingizi na uchovu mwingi utajiona wewe katika uhalisia wako ndani ya hizo ndoto zako

Haijalishi utachelewa muda gani kuzifikia .. Kila mmoja wetu ana muda wake wa kupata.. Wengine wanachelewa na wengine wanawahi. Sometimes ni heri kuchelewa lakini ufike milele kuliko uwahi kisha ufeli kabla kesho haijapambazuka..! Kuchelewa kupata utakacho ni maono pia..!

Usiishi kwa kihoro cha kuchelewa kutimiza ndoto.. Usibabaike na waliokutangulia.. Jenga msingi wako rohoni ukitumainia yajayo.. Lakini usibweteke..ILA Usitumie mkato pia.. Usiyalazimishe mafanikio yako kupitia njia zisizo sahihi.. Usitumie kafara na nguvu za giza.. Utapata kwa wakati huo. .. Lakini itakapofika kupata kwa halali.. Haramu itakuwa imeshanajisi njia yako na anguko lako litaanzia hapo..!

Maisha sio leo maisha ni kesho na kesho ni kubwa kuliko Jana, kuliko juzi, kesho ni kaka mkubwa wa leo..Usibweteke ila ziishi ndoto zako katika njia sahihi.. Hata kama hujapata na hata kama muda haujatimia lakini ishi kwenye maandalizi ya KUWA ..utakaye kuwa!
Dressing code yako
Matendo yako
Mienendo yako
Maono yake vyote viashirie utakayekuwa baadae.. Haijilishi ndoto zako ni kuwa
Mama wa nyumbani anza sasa
Msanii mkubwa anza sasa
Kiongozi mkubwa anza sasa
Mfanyabiashara mwenye mafanikio anza sasa
Mtu maarufu anza sasa
Paroko, Sheikh, mchungaji anza sasa
Mtunzi maarufu anza sasa
Mwanasayansi na jasusi anza sasa!

Kuna baadhi ya ndoto za rohoni hujidhihiri kwa watoto wadogo tangu mwanzo.. Maana matendo na mienendo yake huchora ramani inayoonekana!

Kumbuka hakuna ndoto za rohoni zinazojifunua uwe
Tena
Malaya
Jambazi
Mdangaji
Tapeli
Mwizi
Muongo nknk
Hayo ni matendo ya giza baada ya ndoto kufa kwa sababu zozote zile!

Kama kila ukijiangalia mawazoni kuna mahali unatamani kuwa lakini rohoni unaona kiza..achana na hizo fikra.. Hutafika popote..

Nawatakia Jumamosi njema ya Pasaka
Jr[emoji769]
16.04.2022
Nasubir wakati utimie nitakuja kuleta mrejesho! Nimejifunza kitu
 
Mshana nikwambie Jambo.
Hivi unatambua katika Maisha ya Ukristo maisha huwa vip..
Niya(malengo) yako ufa, na unabeba nia(malengo) ya kristo.
Asante malengo ya Kristo ni uzima wa milele malengo ya maisha ni kuishi katika Kristo(njia sahihi) ili utimize wajibu wako na kuziishi ndoto zako wakati ukiwa hai hapa duniani..nafasi ya kuishi duniani ni moja tuu Tui cherrish
 
Rais ajaye sijui nitapenyea wapi wakati hata ubunge bado halafu 34 years!!!Aiseh!! Halafu kuna kelele nafsini eti nikasome masters kitu ambacho nishachukia elimu ya bongo kabisa naona inajaza wajinga wengi ambao wanawaza vyeo tu!!!! Aiseh!!!
 
RAISI AJAYE SIJUI NITAPENYEA WAPI WAKATI HATA UBUNGE BADO HALAFU 34 YEARS!!!AISEH!!HALAFU KUNA KELELE NAFSINI ETI NIKASOME MASTERS KITU AMBACHO NISHACHUKIA ELIMU YA BONGO KABISA NAONA INAJAZA WAJINGA WENGI AMBAO WANAWAZA VYEO TU!!!!AISEH!!!
Ziishi ndoto zako ili zipate kuja kuwa halisi.. Wakati utakapotimia formula utaiona
 
Utimilifu wa ndoto katika maisha ya mafanikio huanzia rohoni na si mafanikio tuu bali kila jambo katika maisha bila kujali uzuri ama ubaya wake! Kwakuwa roho ndio asili na ndio chanzo cha kila kitu katika ulimwengu wa mwili?

Je unaziishi ndoto zako? Ama bado hazijatimia? Je unaziona ndoto zako katika uhalisia wake! Ni kama vile upandavyo mazao kondeni.. Unajiona tangu maandalizi ya shamba, kupanda palizi kukomaa na hatimaye mavuno! Utimilifu wa ndoto..! Je unaiona hii picha kwa vipande? Hatua kwa hatua?

Hapa tofautisha ndoto hizi za rohoni na ndoto zile za kichwani.. Ndoto za Alinacha.. Ndoto za kuota una pesa mingi bila mipango, unaendesha ndinga kali unachukua bebes za viwango, kasri lenye kila aina ya starehe nknk.. Sio ndoto hizi ambazo waotaji wake hawawazi mwanzo wa kufikia kupata bali wanawaza mwisho wa matokeo ya kupata na kutumia..ndio maana ziko kichwani juu na sio rohoni ndani..!

Unataka kuwa nani maishani.. Unataka kufanya nini maishani.. Hiyo roadmap utaiona rohoni mwako kila uendapo, kila ufanyalo na hata katika usingizi na uchovu mwingi utajiona wewe katika uhalisia wako ndani ya hizo ndoto zako

Haijalishi utachelewa muda gani kuzifikia .. Kila mmoja wetu ana muda wake wa kupata.. Wengine wanachelewa na wengine wanawahi. Sometimes ni heri kuchelewa lakini ufike milele kuliko uwahi kisha ufeli kabla kesho haijapambazuka..! Kuchelewa kupata utakacho ni maono pia..!

Usiishi kwa kihoro cha kuchelewa kutimiza ndoto.. Usibabaike na waliokutangulia.. Jenga msingi wako rohoni ukitumainia yajayo.. Lakini usibweteke..ILA Usitumie mkato pia.. Usiyalazimishe mafanikio yako kupitia njia zisizo sahihi.. Usitumie kafara na nguvu za giza.. Utapata kwa wakati huo. .. Lakini itakapofika kupata kwa halali.. Haramu itakuwa imeshanajisi njia yako na anguko lako litaanzia hapo..!

Maisha sio leo maisha ni kesho na kesho ni kubwa kuliko Jana, kuliko juzi, kesho ni kaka mkubwa wa leo..Usibweteke ila ziishi ndoto zako katika njia sahihi.. Hata kama hujapata na hata kama muda haujatimia lakini ishi kwenye maandalizi ya KUWA ..utakaye kuwa!
Dressing code yako
Matendo yako
Mienendo yako
Maono yake vyote viashirie utakayekuwa baadae.. Haijilishi ndoto zako ni kuwa
Mama wa nyumbani anza sasa
Msanii mkubwa anza sasa
Kiongozi mkubwa anza sasa
Mfanyabiashara mwenye mafanikio anza sasa
Mtu maarufu anza sasa
Paroko, Sheikh, mchungaji anza sasa
Mtunzi maarufu anza sasa
Mwanasayansi na jasusi anza sasa!

Kuna baadhi ya ndoto za rohoni hujidhihiri kwa watoto wadogo tangu mwanzo.. Maana matendo na mienendo yake huchora ramani inayoonekana!

Kumbuka hakuna ndoto za rohoni zinazojifunua uwe
Tena
Malaya
Jambazi
Mdangaji
Tapeli
Mwizi
Muongo nknk
Hayo ni matendo ya giza baada ya ndoto kufa kwa sababu zozote zile!

Kama kila ukijiangalia mawazoni kuna mahali unatamani kuwa lakini rohoni unaona kiza..achana na hizo fikra.. Hutafika popote..

Nawatakia Jumamosi njema ya Pasaka
Jr[emoji769]
16.04.2022
nasikia pia wazee wa vilinge mnatumika kuzima ndoto za watu.
sijui hili likoje. linaepukika vipi sasa
 
Utimilifu wa ndoto katika maisha ya mafanikio huanzia rohoni na si mafanikio tuu bali kila jambo katika maisha bila kujali uzuri ama ubaya wake! Kwakuwa roho ndio asili na ndio chanzo cha kila kitu katika ulimwengu wa mwili?

Je unaziishi ndoto zako? Ama bado hazijatimia? Je unaziona ndoto zako katika uhalisia wake! Ni kama vile upandavyo mazao kondeni.. Unajiona tangu maandalizi ya shamba, kupanda palizi kukomaa na hatimaye mavuno! Utimilifu wa ndoto..! Je unaiona hii picha kwa vipande? Hatua kwa hatua?

Hapa tofautisha ndoto hizi za rohoni na ndoto zile za kichwani.. Ndoto za Alinacha.. Ndoto za kuota una pesa mingi bila mipango, unaendesha ndinga kali unachukua bebes za viwango, kasri lenye kila aina ya starehe nknk.. Sio ndoto hizi ambazo waotaji wake hawawazi mwanzo wa kufikia kupata bali wanawaza mwisho wa matokeo ya kupata na kutumia..ndio maana ziko kichwani juu na sio rohoni ndani..!

Unataka kuwa nani maishani.. Unataka kufanya nini maishani.. Hiyo roadmap utaiona rohoni mwako kila uendapo, kila ufanyalo na hata katika usingizi na uchovu mwingi utajiona wewe katika uhalisia wako ndani ya hizo ndoto zako

Haijalishi utachelewa muda gani kuzifikia .. Kila mmoja wetu ana muda wake wa kupata.. Wengine wanachelewa na wengine wanawahi. Sometimes ni heri kuchelewa lakini ufike milele kuliko uwahi kisha ufeli kabla kesho haijapambazuka..! Kuchelewa kupata utakacho ni maono pia..!

Usiishi kwa kihoro cha kuchelewa kutimiza ndoto.. Usibabaike na waliokutangulia.. Jenga msingi wako rohoni ukitumainia yajayo.. Lakini usibweteke..ILA Usitumie mkato pia.. Usiyalazimishe mafanikio yako kupitia njia zisizo sahihi.. Usitumie kafara na nguvu za giza.. Utapata kwa wakati huo. .. Lakini itakapofika kupata kwa halali.. Haramu itakuwa imeshanajisi njia yako na anguko lako litaanzia hapo..!

Maisha sio leo maisha ni kesho na kesho ni kubwa kuliko Jana, kuliko juzi, kesho ni kaka mkubwa wa leo..Usibweteke ila ziishi ndoto zako katika njia sahihi.. Hata kama hujapata na hata kama muda haujatimia lakini ishi kwenye maandalizi ya KUWA ..utakaye kuwa!
Dressing code yako
Matendo yako
Mienendo yako
Maono yake vyote viashirie utakayekuwa baadae.. Haijilishi ndoto zako ni kuwa
Mama wa nyumbani anza sasa
Msanii mkubwa anza sasa
Kiongozi mkubwa anza sasa
Mfanyabiashara mwenye mafanikio anza sasa
Mtu maarufu anza sasa
Paroko, Sheikh, mchungaji anza sasa
Mtunzi maarufu anza sasa
Mwanasayansi na jasusi anza sasa!

Kuna baadhi ya ndoto za rohoni hujidhihiri kwa watoto wadogo tangu mwanzo.. Maana matendo na mienendo yake huchora ramani inayoonekana!

Kumbuka hakuna ndoto za rohoni zinazojifunua uwe
Tena
Malaya
Jambazi
Mdangaji
Tapeli
Mwizi
Muongo nknk
Hayo ni matendo ya giza baada ya ndoto kufa kwa sababu zozote zile!

Kama kila ukijiangalia mawazoni kuna mahali unatamani kuwa lakini rohoni unaona kiza..achana na hizo fikra.. Hutafika popote..

Nawatakia Jumamosi njema ya Pasaka
Jr[emoji769]
16.04.2022
Mimi Kama mimi nimekuelewa uzuri nilitaka nikuulize kitu ila umeshajibu Mungu akuzidishie fikra pevu.
 
Utimilifu wa ndoto katika maisha ya mafanikio huanzia rohoni na si mafanikio tuu bali kila jambo katika maisha bila kujali uzuri ama ubaya wake! Kwakuwa roho ndio asili na ndio chanzo cha kila kitu katika ulimwengu wa mwili?

Je unaziishi ndoto zako? Ama bado hazijatimia? Je unaziona ndoto zako katika uhalisia wake! Ni kama vile upandavyo mazao kondeni.. Unajiona tangu maandalizi ya shamba, kupanda palizi kukomaa na hatimaye mavuno! Utimilifu wa ndoto..! Je unaiona hii picha kwa vipande? Hatua kwa hatua?

Hapa tofautisha ndoto hizi za rohoni na ndoto zile za kichwani.. Ndoto za Alinacha.. Ndoto za kuota una pesa mingi bila mipango, unaendesha ndinga kali unachukua bebes za viwango, kasri lenye kila aina ya starehe nknk.. Sio ndoto hizi ambazo waotaji wake hawawazi mwanzo wa kufikia kupata bali wanawaza mwisho wa matokeo ya kupata na kutumia..ndio maana ziko kichwani juu na sio rohoni ndani..!

Unataka kuwa nani maishani.. Unataka kufanya nini maishani.. Hiyo roadmap utaiona rohoni mwako kila uendapo, kila ufanyalo na hata katika usingizi na uchovu mwingi utajiona wewe katika uhalisia wako ndani ya hizo ndoto zako

Haijalishi utachelewa muda gani kuzifikia .. Kila mmoja wetu ana muda wake wa kupata.. Wengine wanachelewa na wengine wanawahi. Sometimes ni heri kuchelewa lakini ufike milele kuliko uwahi kisha ufeli kabla kesho haijapambazuka..! Kuchelewa kupata utakacho ni maono pia..!

Usiishi kwa kihoro cha kuchelewa kutimiza ndoto.. Usibabaike na waliokutangulia.. Jenga msingi wako rohoni ukitumainia yajayo.. Lakini usibweteke..ILA Usitumie mkato pia.. Usiyalazimishe mafanikio yako kupitia njia zisizo sahihi.. Usitumie kafara na nguvu za giza.. Utapata kwa wakati huo. .. Lakini itakapofika kupata kwa halali.. Haramu itakuwa imeshanajisi njia yako na anguko lako litaanzia hapo..!

Maisha sio leo maisha ni kesho na kesho ni kubwa kuliko Jana, kuliko juzi, kesho ni kaka mkubwa wa leo..Usibweteke ila ziishi ndoto zako katika njia sahihi.. Hata kama hujapata na hata kama muda haujatimia lakini ishi kwenye maandalizi ya KUWA ..utakaye kuwa!
Dressing code yako
Matendo yako
Mienendo yako
Maono yake vyote viashirie utakayekuwa baadae.. Haijilishi ndoto zako ni kuwa
Mama wa nyumbani anza sasa
Msanii mkubwa anza sasa
Kiongozi mkubwa anza sasa
Mfanyabiashara mwenye mafanikio anza sasa
Mtu maarufu anza sasa
Paroko, Sheikh, mchungaji anza sasa
Mtunzi maarufu anza sasa
Mwanasayansi na jasusi anza sasa!

Kuna baadhi ya ndoto za rohoni hujidhihiri kwa watoto wadogo tangu mwanzo.. Maana matendo na mienendo yake huchora ramani inayoonekana!

Kumbuka hakuna ndoto za rohoni zinazojifunua uwe
Tena
Malaya
Jambazi
Mdangaji
Tapeli
Mwizi
Muongo nknk
Hayo ni matendo ya giza baada ya ndoto kufa kwa sababu zozote zile!

Kama kila ukijiangalia mawazoni kuna mahali unatamani kuwa lakini rohoni unaona kiza..achana na hizo fikra.. Hutafika popote..

Nawatakia Jumamosi njema ya Pasaka
Jr[emoji769]
16.04.2022
To be top military personnel.
I missed this chance thrice, in 2004, May 2015 and July 2015. Especially after Magu's sworn in and his halting employment policy.

There were times when I wished for a war to occur in order to join army by volunteering this was during Kagame-Kikwete cold war of 2014 and Mkiru incidents of 2016.

Now I dream differently.
 
Duu
To be top military personnel.
I missed this chance thrice, in 2004, May 2015 and July 2015. Especially after Magu's sworn in and his halting employment policy.

There were times when I wished for a war to occur in order to join army by volunteering this was during Kagame-Kikwete cold war of 2014 and Mkiru incidents of 2016.

Now I dream differently.
Tatizo most of youts mnatamaa sana
 
RAISI AJAYE SIJUI NITAPENYEA WAPI WAKATI HATA UBUNGE BADO HALAFU 34 YEARS!!!AISEH!!HALAFU KUNA KELELE NAFSINI ETI NIKASOME MASTERS KITU AMBACHO NISHACHUKIA ELIMU YA BONGO KABISA NAONA INAJAZA WAJINGA WENGI AMBAO WANAWAZA VYEO TU!!!!AISEH!!!

Wanawaza vyeo maana katiba inawalinda kuiba
 
To be top military personnel.
I missed this chance thrice, in 2004, May 2015 and July 2015. Especially after Magu's sworn in and his halting employment policy.

There were times when I wished for a war to occur in order to join army by volunteering this was during Kagame-Kikwete cold war of 2014 and Mkiru incidents of 2016.

Now I dream differently.
There are two souls fighting within you ..
 
Back
Top Bottom