hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 3,045
- 1,504
Kwenye sayansi mbona hizo habari zipo,....Darwin alisema Mtu asili yake ni "Sokwe"......... Darwin anasema kwamba "modern humans evolved over millions of years from earlier species of PRIMATES through a process called natural selection.Hizo habari za binadamu kuwa sokwe umefundishwa na nani? Kwenye sayansi hakuna kitu kama hicho.
Mkiwa shule muwe mnatilia maanani yanayofundishwa, itawasaidia kuepukana na kutoelewa somo ma kuobeba taarifa zisizo sahihi.
Sasa kama sio kweli kwamba Darwin anasema Binadamu anatokana na Sokwe tuambie "Primates ni nini...?