Kazi ya Waziri sio anayofanya Dr. Mwakyembe, nadhani hata scheme of work hana anajikurupukia tu. Japokuwa alikuwa mwalimu na mwalimu anaheshimu sana scheme of work lakini yeye ualimu wake haujamsaidia katika eneo hili. Hatutaki mawaziri wanaofanyakazi kwa mtindo huu. Itakuwa vurugu. Kwani mawaziri hawana job description? Kama wanayo sidhani tactic ni sehemu ya majukumu yao. Nani atatoa taarifa kwa nani? Nani ata atachanganua (analyse) taarifa ya nani? Nani atamsimamia nani? Ukishindwa kumsimamia mbwa abweke unabweka mwenyewe? Utendaji wa kutisha.
Ni homa hiyo, sio ya kuifagilia
Ni homa hiyo, sio ya kuifagilia