Je umesoma nini?

nimesoma na ninaendelea kusoma bible kila mara, kwan hunisogeza karibu na Mwenyezi Mungu. hasa nifanyapo dhambi (make sisi wanadamu sio wakamilifu kuweza kujiepusha na kutofanya dhambi) huwa najuta sana. . . bible hunifunza mengi. na inanibadilisha kila siku na kunifanya kuwa mwema. vitabu vingine ni km. gifted hand, think big n.k.
 
nimejisomea sana Medicinal Chemistry, hii imenisaidia kucheza na ma structure ya madawa na jinsi ya kucheza nayo ili kuyafanyia modification,pia anatomy na physiology ya binadamu imenisaidia sehemu za mwili na jinsi zinavyofanya kaziasee nimesoma mambo kibao,
 
Mi najua kwa nini....Lakini sikuambii.

We ulisoma kisa cha Manenge na Mandawa?
Neema na Baraka
Kibanga ampiga Mkoloni
Mr. and Mrs. Daudi

Au ndio kizazi cha dot com

Kwani lazima nisome hizo? Mi sikusomea primary TZ. Hayo ya kuchokozana ukitaka usinambie, hata mimi najua! hahahaha
 
Hahahaha! Mtusi na Mhutu utawajua tu LOL wabishiiiiiii kama Mugabe.

Hhahahahaha, aisee, wakikuskia wenyewe watachukia kufananishwa na Mugabe. Ila ningependa nisome Kibanga ampiga Mkoloni. I have come to develop some form of admiration for this Kibanga guy. Na mimi kesho namuamkia mkoloni wangu na bakora, ananiudhiiiiii!
 
nimesoma na ninaendelea kusoma bible kila mara, kwan hunisogeza karibu na Mwenyezi Mungu. hasa nifanyapo dhambi (make sisi wanadamu sio wakamilifu kuweza kujiepusha na kutofanya dhambi) huwa najuta sana. . . bible hunifunza mengi.

mfamo wa dhambi hizo ni....
 
Kikosi cha Kisasi (KK) by Elvis Musiba
The river between (Ngugi)
No Longer at ease (Chinua Achebe)
Things Fall Apart (Chinua Achebe)
Mabala The farmer (Richard Mabala)
Hawa the Bus Driver (Richard Mabala?)
Tujifunze Lugha Yetu (1-7)
Petals of Blood (Ngugi)
An ear on the ground (James Hadley Chase)
Hofu (Elvis Musiba)
Kikomo (Elvis Musiba)
Hujuma (Elvis Musiba)
Mauaji ya rwanda (Elvis Musiba nimesahau title)
Song of Lawino and Okot (Okot P B'tek)
Three sweeters one Husband (nimesahau author)
Adili na Nduguze
Hidithi za alfu lela u lela
Kuanguka kwa Fashisti Iddi Amini (TPH)
Uhuru wa Watumwa
...............................orodha ni ndefu wajameni
 
Hhahahahaha, aisee, wakikuskia wenyewe watachukia kufananishwa na Mugabe. Ila ningependa nisome Kibanga ampiga Mkoloni. I have come to develop some form of admiration for this Kibanga guy. Na mimi kesho namuamkia mkoloni wangu na bakora, ananiudhiiiiii!
Hahhahaha! Angalia mkoloni wa siku hizi si kama wa zamani. Watakucheka watu. Kuna tamthilia moja inaitwa Hawala Ya Fedha ushaisoma? Usiikose. Na kuna kitabu kinaitwa KULI. Yaani nikikumbuka najisikia hamu ya kuendesha kreni.

Afu umenionea wapi my darling shem AshaDii. Yule kitabu chake ni Facebook. Anakisoma kila siku.
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi napenda kukuchokoza, sijui kwa nini...

23_29_13.gif
23_29_13.gif
15_10_6.gif
 
Hhahahahaha, aisee, wakikuskia wenyewe watachukia kufananishwa na Mugabe. Ila ningependa nisome Kibanga ampiga Mkoloni. I have come to develop some form of admiration for this Kibanga guy. Na mimi kesho namuamkia mkoloni wangu na bakora, ananiudhiiiiii!
Hahhahaha! Angalia mkoloni wa siku hizi si kama wa zamani. Watakucheka watu. Kuna tamthilia moja inaitwa Hawala Ya Fedha ushaisoma? Usiikose. Na kuna kitabu kinaitwa KULI. Yaani nikikumbuka najisikia hamu ya kuendesha kreni.

Afu umenionea wapi my darling shem AshaDii. Yule kitabu chake ni Facebook. Anakisoma kila siku.
 
Last edited by a moderator:
Kikosi cha Kisasi (KK) by Elvis Musiba
The river between (Ngugi)
No Longer at ease (Chinua Achebe)
Things Fall Apart (Chinua Achebe)
Mabala The farmer (Richard Mabala)
Hawa the Bus Driver (Richard Mabala?)
Tujifunze Lugha Yetu (1-7)
Petals of Blood (Ngugi)
An ear on the ground (James Hadley Chase)
Hofu (Elvis Musiba)
Kikomo (Elvis Musiba)
Hujuma (Elvis Musiba)
Mauaji ya rwanda (Elvis Musiba nimesahau title)
Song of Lawino and Okot (Okot P B'tek)
Three sweeters one Husband (nimesahau author)
Adili na Nduguze
Hidithi za alfu lela u lela
Kuanguka kwa Fashisti Iddi Amini (TPH)
Uhuru wa Watumwa
...............................orodha ni ndefu wajameni
Hommie ulishakutana na hili jina 'WAGAGAGIGIKOKO' kwenye kitabu chochote? Wacha kabisa.

Hekaya za Abunuwasi?
Tutarudi na Roho Zetu?
Songo Of Lawini/Ocol?
The Black Hermit?
 
Hommie ulishakutana na hili jina 'WAGAGAGIGIKOKO' kwenye kitabu chochote? Wacha kabisa.

Hekaya za Abunuwasi?
Tutarudi na Roho Zetu?
Songo Of Lawini/Ocol?
The Black Hermit?

Hommie Asprin apo juu ndo maana nimesema vingine nasahau walau kwa sasa

Apo kwen list yako sijasoma The black hermit tu vingine vyote tayari!
 
Last edited by a moderator:
NAKUMBUKA WAKATI NAMALIZIA PH.D YANGU PALE BERKELEY UNIVERSITY, SAN FRANSISCO CALIFORNIA. NILISOMA KITABU/NOVEL YA SIDNEY SHELDON (RIP) KIITWACHO 'IF TOMORROW COMES' TANGU HAPO NIKAHAKIKISHA SIKOSI NAKALA YOYOTE YA SIDNEY SHELDON. He's my role author

shud yu say this?haihusiki hapa!
 
Nimesoma vitabu vingi sana na vyote vimetoa michango tofauti katika maisha yangu,lakini kimoja tu ndio kinaongoza na sitokisahau.Tujifunze Lugha yetu 3,hasa kwenye sura ya tatu Sizitaki mbichi hizi..Sura hii imenijenga na kuwa mtu wa kutokata tamaa kwa jambo lolote toka nikiwa mtoto,na ninadhani hii ndio siri ya mafanikio yangu mpaka hapa nilipofikia..
 
barua ndefu kama hii by ama ata aidoo
great gatsby
vuta nkuvuta by shaffii adam shafi
pesa zako zinanuka
siku ya gulio katerero
kivuli kinaishi
ngoswe penzi kitovu cha uzembe\
beleive this and u will beleve everythig
well,now my pretty
an ear to the ground
until yu marry me again
tempatation ya harold robinson
series novel kama za SWEET VALLEY UNIVERSITY,HARRY PORTER zote)
the man to die for

ah nyingi bwana zingine sikumbuki ngoja niretrieve memory yangu vizuri
 
Daaaa! Umenikumbusha mbali sana!

barua ndefu kama hii by ama ata aidoo
great gatsby
vuta nkuvuta by shaffii adam shafi
pesa zako zinanuka
siku ya gulio katerero
kivuli kinaishi
ngoswe penzi kitovu cha uzembe\
beleive this and u will beleve everythig
well,now my pretty
an ear to the ground
until yu marry me again
tempatation ya harold robinson
series novel kama za SWEET VALLEY UNIVERSITY,HARRY PORTER zote)
the man to die for

ah nyingi bwana zingine sikumbuki ngoja niretrieve memory yangu vizuri
 
Back
Top Bottom