Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Unaweza muwekea mtu sumu

Mi heri nikufume on bed ya nyumba lakini sio kipigo

Ukinipiga fanya kuniacha vinginevyo utakuwa umeleta interahamwe ndani ya nyumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume mpigaji huwa namchukilia tofauti kabisa, why tupeane ulemavu tumeshindwana kitabia kila mtu afate ustaarabu wake.
 
Ilishatokea, nilimpiga tukiwa kwenye urafiki tena hata miezi 6 kwenye uhusiano hatuna ila baada ya mahusiano ya zaidi ya miaka 8 akaja kuwa mke. Sababu ilikuwa jamaa yangu alimuona maeneo anatembea kashikwa mkono na mwanaume kumbana akakili ni ex boy wake. Nafikiri icho kichapo kilisaidia maana alijua sina masihara na kipindi hicho alikuwa still mwanafunzi ivyo hakuwa na right decision

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushakataa kwa kufanya nini mkuu??
Trully kuna time mnaboa sana hadi inafikia hatua Nimekukwida shingoni nataka nkzabe makofi nakuacha, .
Usipate mtu mwenye hasira sana boss labda ukute hufanyi ujinga ujinga na ukiambiwa unasikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nishakataa huo ni ujinga kama gonjwa lisilo tibika, mwanamke akikosea eti apigwe, ila mwanaume ukikosea je???? Ujinga unafanywa sana na wanaume kuliko hata wanawake, lakini adhabu apewe mwanamke!!! Huhuuuu
 
Nishakataa huo ni ujinga kama gonjwa lisilo tibika, mwanamke akikosea eti apigwe, ila mwanaume ukikosea je???? Ujinga unafanywa sana na wanaume kuliko hata wanawake, lakini adhabu apewe mwanamke!!! Huhuuuu
Inashangaza mkuu kuna best yangu mara yuko na alama jichoni, kesho kwenye uso huwa namshangaa sana,naona mpaka atolewe roho.
 
Hahahahaaaa

Eti wangu hanipigi,dada acha kutudanganya hapa!

Hakuna mtoto mdogo hapa ujue!

Ni kwamba,kwenye lifespan ya ndoa yako kuna mahali aidha mwanzo au whatever period,ulishawahi pewa ubatizo wa moto na kuanzia hapo una displine hujawahi mtibua kabisa!

Tunaita,knowing your position!

Kama ubatizo haujawahi fanyika,it is a matter of time lazima atakuweka sawa tu na utaelewa your position!

He is keeping up with your bullshit all this time,kuna siku lazima atakuweka sawa na mapepe yote yatakuisha na utamuheshimu mia mia!

Wewe ruka ruka tu now humu JF na uongo wako...

In here people can smell lies from miles away!

Stop acting,I have stopped movie production!
Sjawahi na nahisi hatawahi, kosa analoweza kunipiga ni lipi sasa kwa mfano??? Nani alisema eti kwamba mwamnamke akikosea lazima apigwe?? Wangu tunapeana likizo kwa muda kila mtu na chumba chake hasira zikishuka tunaongea yanaishaa.....
 
Back
Top Bottom