Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,490
Natamani sana ungenijua mimi!Duuh pole sana.
Tatizo mna maneno mengi ya kuudhi. Mnaongea mno had mwanaume anakosa pumzi na kujaa hasira.
Mimi huwa ninavumilia tu maana hata ukisema ni kupiga haisaidii
Sio kila anayepigwa ni muongeaji, ila naheshimu sana mawazo yako!