Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Nilitaka sana niwe Mwinjilisti nikajikuta nasomea sheria shahada ya 2 nkasomea arts with ED na sasa n mhadhiri.... Kinachoniuma ni relation yangu na Mungu sio kiviiiile ka ilivyokuwa wakati ule nataka kuwa mwinjilisti yaani negative side imekuwa na nguvu sana basi Tu