Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
Mimi niliharibiwa sana na kitabu cha PANGA LA SHABA na mwanae UFUDU.
Nikatamani na mimi nikiwa mkubwa niwe mganga wa jadi ili nikamate wanawake wazuri na nipate mahela.
Ila nilikuwa naogopa sana kula panya na nyama za watu.
kila kilichoa andikwa kwenye kile kitabu nilikuwa naona ni ukweli mtupu.
Nikatamani na mimi nikiwa mkubwa niwe mganga wa jadi ili nikamate wanawake wazuri na nipate mahela.
Ila nilikuwa naogopa sana kula panya na nyama za watu.
kila kilichoa andikwa kwenye kile kitabu nilikuwa naona ni ukweli mtupu.
Watu wawili ambao ni Masaganya Kalimanzila mwenye umri wa miaka 30 (mwanamke) na Chiza Juma mwenye umri wa miaka 20 (mwanaume) ambao walitambulika kuwa ni wachawi mara baada ya kubanwa na kujitambulisha,walikamatwa jana majira ya saa 12 asubuhi katika kanisa la Ufunuo lililopo maeneo ya Butimba jijini Mwanza wakisafiri kwa ungo toka kijiji cha Kaziramkunda wilayani Kasulu mkoani Kigoma hadi jijini Mwanza kwania ya kuwachukuwa watu watatu walioagizwa kwaajili ya sadaka.